KERO Abood mnatukosea sana Abiria wenu

KERO Abood mnatukosea sana Abiria wenu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Hata abood ya tunduma jana ilichelewa sana kutoka Dar, nadhani saa 11 kasoro hivi ndio ilitoka mlogoro ikaingia saa tano za usiku😅😅😅, uyole ikaingia saa nne kama na dk 40 hivi...
Hiyo ndiyo ilituletea shida
 
Abood kale katabia ka mkifika pale Moro mnaingia mule gereji kwao wanakaa almost 30 minutes to 1 hour ni ka kifala.

First time nikahisi bahati mbaya. Second time nikajiuliza au ni mimi nina bahati mbaya?

Kutoka hapo ikawa ni ABC Upper Class tu.
Kana Kera sana
 
Kwa mbeya siku nyingine panda
FIRST PRIORITY
1. Katarama
2. NewForce/Golden Dear
3. ABC
4. Achimwene

SECOND PRIORITY
1. Hai Travelaz
2. New Songo
3. Luwinzo
4. Sweet Africa
5. Kimbinyiko
6. Happy Nation

THIRD PRIORITY
1. Rungwe Express
2. Green Line
3. Abood
4.
Hahahahaha
 
Kwa mbeya siku nyingine panda
FIRST PRIORITY
1. Katarama
2. NewForce/Golden Dear
3. ABC
4. Achimwene
Kwa safari za Mbeya, Katarama ni takataka. Mabasi ya maana ni

New Force
ABC
Msigwa
Achimwene
 
Labda anaona tofauti na mimi. Tangu lini Abood alikuwa anaenda Tanga, Musoma, Karagwe, Tanga n.k.? Hii imetokana na ujio wa SGR ulioathiri route yake kuu ya MORO-DAR. Hivyo hivyo, na Shabiby kaathirika na SGR kiasi cha kuanzisha ruti nyingi mpya. Sasa unapoona basi haliondoki muda uliopangwa, na sio basi chakavu au bovu, sababu ni moja tu halijajaa. Labda lengo lake ni kuua vikampuni vidogo kama Kimbinyiko etc ili wahodhi ruti hizo. Haihitaji akili kubwa kujua biashara ya mabasi imekuwa ya ushindani sana kwani sisi ndio wasafiri tunaona. Unapanda basi limejaa 50%.
Hatari
 
Back
Top Bottom