KERO Abood mnatukosea sana Abiria wenu

KERO Abood mnatukosea sana Abiria wenu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Kampuni ya Mabasi ya Abood mnatukosea sana Abiria wenu,haiwezekani tumekata tiketi ya bus la kwenda Mbeya lililotakiwa kuondoka saa Tisa na nusu lakini mpaka muda huu hakuna bus.

Wafanyakazi wenu wa hapa Magufuli wanatujibu hovyo yaani wanatuona sisi kama takataka.

Huu ni upuuzi wa kiwango Cha juu,kama biashara imewashinda kafanyeni shughuli zingine

Wafanyakazi wenu hawajui kuongea vyema na wateja.

View attachment 3392779

Kwenya App ya abood bus la kwenda Mbeya linatoka dar saa kumi na mbili jioni (6pm) na kufika Mbeya saa tatu asubuhi (09am) hilo la saa tisa umetoa wapi?
Abood wapo makini sana, Angalia ticket yako imeandikwa saa ngapi, na sio kusikiliza maneno ya vishoka.
Ni vizuri tuwe makini kabla hatuja chafua Biashara za watu!!!!
 
Kama Unaenda MBEYA Usafiri wa Uwakika Tumia Bus hizi
1. Alsaheedi
2.New Force
3. ABC
4. Achimwene.
Mara zote kama naenda MBEYA matumia hizo Campuni
Ila abood sipandi Hata kwa Bure Wana Bus Chakacha kwel hiyo Ruti.
Ukitaka panda abood nzuri panda za kwenda moro tu.
Umesema vyema

Kwa safari ya Mbeya apande Abood au lolote kati ya hayo

Ila asithubutu kupanda KATARAMA wana huduma mbovu sijapata ona

Basi lao moja la Mbeya linavuja mvua ikinyesha
 
Kampuni ya Mabasi ya Abood mnatukosea sana Abiria wenu,haiwezekani tumekata tiketi ya bus la kwenda Mbeya lililotakiwa kuondoka saa Tisa na nusu lakini mpaka muda huu hakuna bus.

Wafanyakazi wenu wa hapa Magufuli wanatujibu hovyo yaani wanatuona sisi kama takataka.

Huu ni upuuzi wa kiwango Cha juu,kama biashara imewashinda kafanyeni shughuli zingine

Wafanyakazi wenu hawajui kuongea vyema na wateja.

View attachment 3392779
Pole kikolo tuliohamia Dodoma ni mwendo wa SGR,masaa 3Dar_Dodoma kama kula kisyesye!
 
Nirudie tena;
Kwenya App ya abood bus la kwenda Mbeya linatoka dar saa kumi na mbili jioni (6pm) na kufika Mbeya saa tatu asubuhi (09am) hilo la saa tisa umetoa wapi?
Abood wapo makini sana, Angalia ticket yako imeandikwa saa ngapi, na sio kusikiliza maneno ya vishoka.
Ni vizuri tuwe makini kabla hatuja chafua Biashara za watu!!!!
Tiketi yangu imewndijwa muda wa kuripoti ni saa Tisa kamili na muda wa kuondoka ni saa Tisa na nusu,na muda huu ndiyo tupo safarini,
 
Kuna magari ya kupanda ukiwa na route ndefu kama hii ya dar to mbeya.
Hao akina superstar hawanaga poti na nyie.
 
Kama Unaenda MBEYA Usafiri wa Uwakika Tumia Bus hizi
1. Alsaheedi
2.New Force
3. ABC
4. Achimwene.
Mara zote kama naenda MBEYA matumia hizo Campuni
Ila abood sipandi Hata kwa Bure Wana Bus Chakacha kwel hiyo Ruti.
Ukitaka panda abood nzuri panda za kwenda moro tu.
Alsaheedi, weka kando kwenye hiyo list! Mnatoka Mbeya mjini on time mkifika Uyole basi linakaa hapo zaidi ya lisaa… Hilo basi weka kwenye kundi la Happy Nation, Abood na Mengineyo yalioyogeuza Uyole kama stand kuu…
 
Kampuni ya Mabasi ya Abood mnatukosea sana Abiria wenu,haiwezekani tumekata tiketi ya bus la kwenda Mbeya lililotakiwa kuondoka saa Tisa na nusu lakini mpaka muda huu hakuna bus.

Wafanyakazi wenu wa hapa Magufuli wanatujibu hovyo yaani wanatuona sisi kama takataka.

Huu ni upuuzi wa kiwango Cha juu,kama biashara imewashinda kafanyeni shughuli zingine

Wafanyakazi wenu hawajui kuongea vyema na wateja.

View attachment 3392779
Watandikeni
 
Back
Top Bottom