Tuko ndani ya basi hili la Morogoro-Dar ni saa 3 na robo usiku kondakta ameamua kuweka sinema ya kishenzi ya mapenzi inayoonyesha mwanaume akiwabadilisha wanawake mbalimbali chumba cha guest house.
Sinema hii sio kwa public consumption, inawadhalilisha wanawake, haina mafunzo yoyote kwa jamii, na haitakiwi kwa namna yoyote kwenye usafiri wa umma.
Pamoja na abiria kupiga kelele wahudumu hawa hawaonekani kushtuka. Naomba sana TCRA.
Wakina Mundy, mama Mdachi, sumatra mchukue hatua mara moja kwa haya mabasi ya Abood na mengine yote ya tabia hizi, we dont pay our money to be subjectes to such abuses suala la maadili ni jukumu lao.
Elimu ya kawaida na misingi ya kazi na hekima vinatosha kufanya sawa, hiki cha kuleta mapenzi, tena ya kishamba, kwa translation za kiingereza kibovu yakomeshwe mara moja kwa kuwachukulia hatua watu hawa .
Sinema hii sio kwa public consumption, inawadhalilisha wanawake, haina mafunzo yoyote kwa jamii, na haitakiwi kwa namna yoyote kwenye usafiri wa umma.
Pamoja na abiria kupiga kelele wahudumu hawa hawaonekani kushtuka. Naomba sana TCRA.
Wakina Mundy, mama Mdachi, sumatra mchukue hatua mara moja kwa haya mabasi ya Abood na mengine yote ya tabia hizi, we dont pay our money to be subjectes to such abuses suala la maadili ni jukumu lao.
Elimu ya kawaida na misingi ya kazi na hekima vinatosha kufanya sawa, hiki cha kuleta mapenzi, tena ya kishamba, kwa translation za kiingereza kibovu yakomeshwe mara moja kwa kuwachukulia hatua watu hawa .