Kuku wa siku hizi hawafai hata kwa kitoweo.
Usishangae kila akifukuzwa anarudi tena !!!!!!!!
Kuku wa siku hizi hawafai hata kwa kitoweo.
Nimecheka hadi kizunguzungu...huyo kuku anadonoa mahindi huko au...
Kutakuwa na uvundo huko,muwe wasafi
Inzi nao wanaangalia ati kuna giza sana huko,kuku yeye hajali ndio maana hata kinyesi utamkuta anadonoadonoa hadi anamalizaHahahaaaaa uvundo pangejaa inzi