Mangi Mlay
JF-Expert Member
- Dec 18, 2016
- 5,743
- 7,103
Hofu iko wapi kama Watanzania wachache ndio wapo Private? Na wengi wanasoma Public ? Tusibaki kutetea wachache walioamua kwenda PrivateLets be REALISTIC..! Usichukulie mambo kirahisi!! Zama zimebadilika..nenda ukahesabu watanzania wa kawaida kwny shule za private(primary) ambazo ada ni zaidi ya 2.5 millions(kama ulivyosema) alaf ubaki na jibu lako..
Pili nitajie chuo cha private kinachotoa degree ya udaktari ambacho ada yake ni 1.5 mill(km ulivyosema) then utajiuliza km huwa unatumia ubongo wa wapi kufikiria.