Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,546
- 70,460
Hahaha hamna mbona tunaoa ila ni vile tu muda unakuwa haujafika.🤣🤣 Una nyota ya kuwatengenezea wenzako njia,Ila we si kijana wa chugga nyie wagumu huwa hamuoi,mnakaaga kinyumba na mwanamke muda mrefu,kama nahreel na aika🤣🤣