Aaah kumbe familia

Aaah kumbe familia

Leo ndiyo nimegundua kumbe Tanzania ndiyo nchi ya hovyo yenye wajinga . Wanaoruhusu mjinga kuwaongoza katika ujinga wake anayefanya maamuzi ya kijinga na wao wakabaki kuujadili ujinga.
Ujinga ujinga.
 
Familia ambayo haina mkuu wa familia ni shida. Utakuta mabinti wa familia ile wanazalishwa na wahuni na kuachwa solemba, vijana wa kiume wanakua wapagazi na machawa na wengine wanaingia kwenye ushoga baada ya kununuliwa pipi na soda. mama yao analiwaliwa na walevi wa pombe za ovyo.
Hiyo ndio Turkmenistan ya sasa.
😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom