Magufuli alimpiga chini ndugu yake wa damu akamweka GwajimaSamia Suluhu Hassan - Rais wa Jamhuri ya MUUNGANO wa Tanzania
2. Wanu Hafidh Ameir - Mtoto wake pia Naibu Waziri wa Elimu
3. Mohamed Mchengerwa — Mkwe wake pia Waziri wa Afya.
4. Mwanaenzi Hassan Suluhu - Mdogo wake Rais pia MBUNGE wa Viti Maalum.
Mtu toka miaka ya sabini anakula blueband kwenye silesiNyie mnauhakika Samia anaelewa kinachoendelea nchini kweli?
My Poor country🥲🥲🥲🥲Pamoja na vuguvugu lote la kisiasa na Kijamii linaloendelea Nchini, bado Mtu amekuwa na Ujasiri wa kuonesha Upendeleo wa Wazi Kwa Familia yake?
Si kweli. Ni ufalme unaoletwa kwa mlango wa nyuma. Washindwe Desemba 9Samia Suluhu Hassan - Rais wa Jamhuri ya MUUNGANO wa Tanzania
2. Wanu Hafidh Ameir - Mtoto wake pia Naibu Waziri wa Elimu
3. Mohamed Mchengerwa — Mkwe wake pia Waziri wa Afya.
4. Mwanaenzi Hassan Suluhu - Mdogo wake Rais pia MBUNGE wa Viti Maalum.
Asingebariki uteuziNyie mnauhakika Samia anaelewa kinachoendelea nchini kweli?
Kila kitu sio legit kuanzia uchaguziSamia Suluhu Hassan - Rais wa Jamhuri ya MUUNGANO wa Tanzania
2. Wanu Hafidh Ameir - Mtoto wake pia Naibu Waziri wa Elimu
3. Mohamed Mchengerwa — Mkwe wake pia Waziri wa Afya.
4. Mwanaenzi Hassan Suluhu - Mdogo wake Rais pia MBUNGE wa Viti Maalum.
Katika hilo Maoni yako ni yepi??
Hicho ni kiazi kama viazi vingine vya mboga mbogaKatika hilo Maoni yako ni yepi??