TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,787
- 4,262
Kwanini walevi na wanaume walio changanyikiwa wengi hutumia kiingereza, kujieleza?I need a woman with a good shape to marry from all Tribe except a Haya, Nyakyusa, Nyaturu, Jita, Kurya, or Chaga.
should be aged 25 to 30.
Able to understand shortly and hardworking.
Any level of education in any Falcuty ,but those with finance,accounting,Computer engineering, IT or Telecom are adorable.
I Am non-religionist
I Am 35 years old.
I have 3 children.
With mixed educational and knowledge background.
I am a businessman.
I don't like noise or drama from a woman.
Living in Dar es Salaam.
I Am Pangwa by tribe.
hard-working is My daily task
Family embracing
NB:A woman with a kid Will be concidered too but only if she will be Able to adhere to my conditions regarding her kid’s papa.
PM me if you are committed
Shida iko wapi?Kwanini walevi na wanaume walio changanyikiwa wengi hutumia kiingereza, kujieleza?
Mimi nimeuliza ni jibu tu, basi wangetumia kilugha chakwao kwasbb wanakijua zaidi ila mlevi na kiingereza ni mgonjwa na uji.Shida iko wapi?
Sijachanganyikiwa,si Mlevi,sijawahi,situmii na sifikirii kutumia kilevi chochote,situmii pia vinywaji vyenye sukari,kingereza ni njia ya mawasiliano tu kama ilivyo kwa lugha zinginezo,Kwanini walevi na wanaume walio changanyikiwa wengi hutumia kiingereza, kujieleza?
Sasa ina lengo gani kutumia kiingereza haliakua kiswahili unakielewa na kukiandika vizuri, kweli ntakua muongo kusema kuna shinikizo jingine?Sijachanganyikiwa,si Mlevi,sijawahi,situmii na sifikirii kutumia kilevi chochote,situmii pia vinywaji vyenye sukari,kingereza ni njia ya mawasiliano tu kama ilivyo kwa lugha zinginezo,
Kila kitu ipo na sababu Za msingi kulingana na Mimi binafsi,pia naweza kusema majukumu zangu Ya kila Siku natumia lugha hiyo na nikama nimeshakuwa addicted hivyo hasa linapokuja suala serious,ninakifahamu kiswahili lakini siwezi kupangilia vizuri Kwa andiko ndefu na yenye mantiki hata ongea yangu ukinisikiliza utapata Shaka.Hamna kitu ingine.Sasa ina lengo gani kutumia kiingereza haliakua kiswahili unakielewa na kukiandika vizuri, kweli ntakua muongo kusema kuna shinikizo jingine?
Mkuu unataka kumanisha kwamba unaelewa kingereza kuliko kiswahili?Kila kitu ipo na sababu Za msingi kulingana na Mimi binafsi,pia naweza kusema majukumu zangu Ya kila Siku natumia lugha hiyo na nikama nimeshakuwa addicted hivyo hasa linapokuja suala serious,ninakifahamu kiswahili lakini siwezi kupangilia vizuri Kwa andiko ndefu na yenye mantiki hata ongea yangu ukinisikiliza utapata Shaka.Hamna kitu ingine.
All in all ,agendum no a table is a need of a woman to Marry,thank you
Very well my friend...so may I ask these three children all from same mother? I have a sister perhaps u can be interested in herKila kitu ipo na sababu Za msingi kulingana na Mimi binafsi,pia naweza kusema majukumu zangu Ya kila Siku natumia lugha hiyo na nikama nimeshakuwa addicted hivyo hasa linapokuja suala serious,ninakifahamu kiswahili lakini siwezi kupangilia vizuri Kwa andiko ndefu na yenye mantiki hata ongea yangu ukinisikiliza utapata Shaka.Hamna kitu ingine.
All in all ,agendum no a table is a need of a woman to Marry,thank you
Mkuu unataka kumanisha kwamba unaelewa kingereza kuliko
2 are of the same motherVery well my friend...so may I ask these three children all from same mother? I have a sister perhaps u can be interested in her
Mimi si mtu wa dini bali imani,Mimi si mlozi ila ukinigusu lazima ninuke (Spiritually),hii ni asiliWapangwa si ni watu wa njombe huko?? Mnasifika kwa ulozi wewe sio mloz
Kutoka kwa Oni Sigala ni kwamba jamaa anasema;I need a woman with a good shape to marry from all Tribe except a Haya, Nyakyusa, Nyaturu, Jita, Kurya,Chaga,Ngoni and other related to that.
should be aged 25 to 30.
Able to understand shortly and hardworking.
Any level of education in any Falcuty ,but those with finance,accounting,Computer engineering, IT or Telecom are adorable.
I Am non-religionist
I Am 35 years old.
I have 3 children.
With mixed educational and knowledge background.
I am a businessman.
I don't like noise or drama from a woman.
Living in Dar es Salaam.
I Am Pangwa by tribe.
hard-working is My daily task
Family embracing
NB:A woman with a kid Will be concidered too but only if she will be Able to adhere to my conditions regarding her kid’s papa.
PM me if you are committed
Correction please “Ikiwa upo tayari/umejidhatiti”,hakuna binadamu anayeolewa ama kuoa kwa kujitolea mkuuHakuna kusingizia Lugha hapa,
Nahitaji mwanamke mwenye umbo zuri wa kuoa kutoka kabila lolote isipokuwa Wahaya, Wanyakyusa, Wanyaturu, Wajita, Wakurya, Wachaga, Wangoni na makabila mengine yanayofanana na hayo.
Awe na umri kati ya miaka 25 hadi 30. Awe na uwezo wa kuelewa kwa haraka na awe mchapakazi. Kiwango chochote cha elimu kinapokelewa, lakini wale wenye elimu ya fedha, uhasibu, uhandisi wa kompyuta, TEHAMA au mawasiliano wanapendeza zaidi.
Mimi si mfuasi wa dini yoyote.
Nina umri wa miaka 35. Nina watoto watatu. Nina elimu na ujuzi wa mchanganyiko. Mimi ni mfanyabiashara. Sipendi kelele au drama kutoka kwa mwanamke. Naishi Dar es Salaam. Mimi ni wa kabila la Kipangwa. Kufanya kazi kwa bidii ni sehemu ya maisha yangu ya kila siku. Ninathamini familia.
NB: Mwanamke mwenye mtoto atazingatiwa pia, lakini tu ikiwa ataweza kufuata masharti yangu kuhusu baba wa mtoto wake.
Nitumie ujumbe ikiwa uko tayari kujitolea.