A picture speaks a thousand than words...

attachment.php
 
Wao, wao, wao!!!. Na sasa madaktari wako kwenye mgomo, nani atamshona kama amechanika?
 
Kama ungalikuwa ni wewe hapa ungependa kukandamiza wapi?
Kumbuka ukikandamiza tu kinakutokea!
Toa sababu?

Key board.jpg
 
Mi ningeandika hii labda ni ndefu, "IBOROGERO" (kijiji huko Igunga):flypig:
 
Lol! Kajaribu kuandika mpezi wake mara ya pili; Jibu "Sorry this password is currently in use by a different member, Try a different one"
 
Ingekuwa Nchi za watu wenye kujua nini maana ya vipaji sasa hivi ungekuwa unaongelea maswala ya kusaini cheki za mabilioni, lakini TZ unahitaji Siasa, au ujanja ujanja tu ili utoke.
 
Back
Top Bottom