hahahahahah, kumbe password nyengine vibamia
Nilijua tu hutakosa la kusema...................
Ubunifu uliotukuka!hapo kuna picha kama nne hivi kubwa ya babu na bibi,pia kuna ndogo mbili jamaa anaepiga "Guitar" na anayemsikiliza pembeni yake,sina uhakika kama kwenye sikio la babu ni mtu au mlango na pazia!
kwa wasiotumia tigo ..mbona inawezekana..? ILA KAMA UNATUMIA TIGO..USIJARIBU..!