WA MAMNDENII
JF-Expert Member
- Jun 5, 2010
- 344
- 57
mmmmhhhh!!!! anapakuliwa ubwaa eehh! au anamiminiwa juisi ya sharbat . loh! dunia hadaa walimwengu yetu macho
Mama yake na mama yangu !!! mbaya sana
ila ni mrembo,
uso hauna chunusi..mashalaah!:A S 8:
Chunga sana ndg zangu,angalia kwa makini,utagundua satanic salute mkononimwake.dole gumba kalinyosha juu cha pili kutoka gumba pamoja na kukikunja kainua sijui sigara badala yake na viwili vinavyofuata vimekunjwa na cha mwisho kimenyoshwa juu ni ujumbe kamilifu huo.freemason.
ila ni mrembo,
uso hauna chunusi..mashalaah!:A S 8: