cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
who is he in the first place?
ni kaka mmoja wa kitanzania anaitwa bilal aka bilal mashauzi aka bilal seduction.
anadai yeye ni kimwana/mrembo aliyekuwa traped ktk mwili wa jibaba.
C'mon Mean Shoga?
Bwabwa???!!
sasa cheusi umempata wapi tena
anauza ama ameolewa?
kuuza cjui lkn nasikia anatafuta mume aolewe,nasikia anataka kuweka tangazo lake la kutafuta mume hapa jf kwetu,,,lord have mercy on me ili nicje siku moja asubuhi nikafungua new posts nikakutana na tangazo lake la kutafuta mume.
no way,nakwenda kinyume naye katika jina la yesu,roho mtakatifu apate kumtembelea huko ktk gereza la kishogari na kumuweka huru.Cheusimangala! Ndio umeshamsaidia hivyo kulifikisha hapa:nono:
<INPUT id=gwProxy type=hidden><!--Session data--><INPUT id=jsProxy onclick=jsCall(); type=hidden>
Watanzania hizi mila/desturi/tabia/mazoea n.k inabidi tuyakubali tu...dunia inabadilika na haya ndio mabadiliko yenyewe!! Mwacheni aje aweke post ya kutafuta mume hapa JF, hamuwezi kujua pengine kuna watu wako tayari kuvinjari naye.
Afadhali huyu aliyejitambulisha kwenye jamii kuliko wale wanaofanya siri; wanaoa na kuanza familia huku wakijua wao wanapenda wanaume wenzao.
ni kaka mmoja wa kitanzania anaitwa bilal aka bilal mashauzi aka bilal seduction.
anadai yeye ni kimwana/mrembo aliyekuwa traped ktk mwili wa jibaba.