A Man from year 2256.. Time travel

A Man from year 2256.. Time travel

Huyu jamaa ndie yule jesuits aliyetumwa na father Andrew White (rejea kwenye jina la White House) kuhakikisha mkataba wa American indepence unasainiwa alafu akatoweka
So far hakuna aliyewahi muona John Titor, huyo mjesuits na masuala ya illuminati mi siyajui mkuu!..
 
Hizi nadharia kwa kweli ukiwaza kwa kina ni kitu kisicho wezekana.

Nitolee mfano, tupo kundi moja tunasafiri kutoka dar es laam kwenda morogoro.
Tulopofika chalinze nikapata chombo kinachosafiri kwa speed zaidi, nikakitumia kufika morogoro dakika moja baadae, nikawaacha wenzangu wakija kawaida .
Kule morogoro nikafanya shughuli nyingi nyingi labda kwa saa moja kisha nikawarudia wale kwa jinsi nilivyoenda. Nitawahadithia yaliopo morogoro chakula kilichopikwa tutakapo lala tatakaojumuika nao nk nk.


Sasa kule morogoro nilikoenda kwa haraka zaidi ya wenzangu nimekuta shuguli zinaendelea na watu wapo kwa kua wote tupo dunia moja.

Na hata kama ningetumia chombo kile kurudi dar tulipotoka kuanzia pale chalinze,kule dar ningekuta shughuli zinaendelelea kwa kule tumeacha watu. Hata ningewarudia wale ndugu ningewaambia yaliotokea dar ambayo wao hawakuyaona maama hawakuwepo.



Lakini kuniambia nirudi 1990 kwa njia yoyote kule sita kuta mtu maana hakuna aliebakia huko, kuniambia niende 2020 huko haja fik mtu bado bado.

Wote tupo leo hakuna aliebaki jana wala hakuna aliefika kesho.

Kesho haina shuguli maana hakuna aliepo.

Jana haina shuguli kwani hakuna alie bakia jana.

Tukumbuke sisi tunaongozwa na mzunguko wa dunia kwa jua, unaotupa usiku na mchana. Labda kama kungekua na uwezekano wa kusimisha huo mzunguko au kuuongeza speed.

Ni mawazo yangu tuu lakini.
 
Mi nitawaangalia wazazi wangu walivyokuwa wakipendana mpaka kutuleta sie duniani. Mungu awalinde wazazi wangu daima.
 
Habari wakuu..

Hivi unataamua kufanya nini kama ukiamka ukapata siri ya kusafiri na muda (time travel)
Yaani uwe na uwezo wa kuchagua muda wowote unaotaka kwenda.
Kwa mfano unaweza kwenda mwaka 2o99 then ukarudi sasa hivi 2018?
Au ukaenda mwaka 1944 ushuhudie vita ya pili ya dunia mubashara..

Sasa basi twende kwenye maada moja kwa moja..
Kuna watu wanaamini inawezekana ku time travel na wanatoa evidence zao kwamba inawezekana.
Moja ya evidence iliyopo ni jamaa mmoja aitwaye Andrew Carlssin yeye alifanya biashara ya kuinvest kwenye stoke market na mtaji wa dolla 800 ilikuwa ni mwaka 2003 baada ya week 2 akapata faida ya dolla milioni 350!!!.
FBI wakaona ni kitu kisichowezekana kwahio wakaanza kumchunguza. Walimkamata na kumfanyia mahojiano ili ifahamike ametumia trick gani kupata pesa hizo..

Baada ya kumbana sana aliwajibu kuwa yeye anatoka mwaka 2256 kwahio amekuja mwaka 2003 na time machine yake..
Na huko mwaka 2256 biashara hizo za fedha zimeendelea sana kwahio ukitumia ujuzi kidogo wa zama ambazo yeye anaishi unapata faida kubwa wakati wetu (2003).
FBI walishindwa kumuelewa wakajua labda atakuwa chizi
View attachment 684193

Walimuachia lakini baada ya kutoka hakuwahi kupatikana mpaka leo hii..



Ushahidi wa pili kuhusu ku time travel ni picha zinalizopigwa kombe la dunia 1962 ambapo kuna jamaa alionekana kashika mobile phoneView attachment 684203

Inasemekana jamaa alikua katoka dunia ya sasa hivi akawa ameenda kupiga misele na kucheki komba la dunia live la mwaka 1962..


Kuna picha nyingine ya jamaa kapiga pamba za kisasa miaka ya zamani sana ambapo utamaduni wa mavazi haya haukuwepo..View attachment 684209

...hio ni baadhi tu ya mifano kuelezea kua kumbe inawezekana kutoka sasa hivi 2018 na kwenda zako 1680's ushuhudie vasco dagama anavotua bongo...
Au uende zako 1961 ushuhudie uhuru wa tz mubashara..




Kama wewe ukipata siri hio utaenda mwaka gani??
Na kwa nini??
Jay Z is a time traveller
 
Habari wakuu..

Hivi unataamua kufanya nini kama ukiamka ukapata siri ya kusafiri na muda (time travel)
Yaani uwe na uwezo wa kuchagua muda wowote unaotaka kwenda.
Kwa mfano unaweza kwenda mwaka 2o99 then ukarudi sasa hivi 2018?
Au ukaenda mwaka 1944 ushuhudie vita ya pili ya dunia mubashara..

Sasa basi twende kwenye maada moja kwa moja..
Kuna watu wanaamini inawezekana ku time travel na wanatoa evidence zao kwamba inawezekana.
Moja ya evidence iliyopo ni jamaa mmoja aitwaye Andrew Carlssin yeye alifanya biashara ya kuinvest kwenye stoke market na mtaji wa dolla 800 ilikuwa ni mwaka 2003 baada ya week 2 akapata faida ya dolla milioni 350!!!.
FBI wakaona ni kitu kisichowezekana kwahio wakaanza kumchunguza. Walimkamata na kumfanyia mahojiano ili ifahamike ametumia trick gani kupata pesa hizo..

Baada ya kumbana sana aliwajibu kuwa yeye anatoka mwaka 2256 kwahio amekuja mwaka 2003 na time machine yake..
Na huko mwaka 2256 biashara hizo za fedha zimeendelea sana kwahio ukitumia ujuzi kidogo wa zama ambazo yeye anaishi unapata faida kubwa wakati wetu (2003).
FBI walishindwa kumuelewa wakajua labda atakuwa chizi
View attachment 684193

Walimuachia lakini baada ya kutoka hakuwahi kupatikana mpaka leo hii..



Ushahidi wa pili kuhusu ku time travel ni picha zinalizopigwa kombe la dunia 1962 ambapo kuna jamaa alionekana kashika mobile phoneView attachment 684203

Inasemekana jamaa alikua katoka dunia ya sasa hivi akawa ameenda kupiga misele na kucheki komba la dunia live la mwaka 1962..


Kuna picha nyingine ya jamaa kapiga pamba za kisasa miaka ya zamani sana ambapo utamaduni wa mavazi haya haukuwepo..View attachment 684209

...hio ni baadhi tu ya mifano kuelezea kua kumbe inawezekana kutoka sasa hivi 2018 na kwenda zako 1680's ushuhudie vasco dagama anavotua bongo...
Au uende zako 1961 ushuhudie uhuru wa tz mubashara..




Kama wewe ukipata siri hio utaenda mwaka gani??
Na kwa nini??
I personally am a Time Traveller...But i do this through imagination
 
Haya mambo ukiyafata sana unaweza jikuta tayari ushakua mchawi


Sasa kama ukienda huko future utawakuta wa kina nani wakati wote tupo leo au ukienda huko past utawakuta wakina nani wakati wote tuko Leo Pendael24 nakubaliana na ww mkuu
 
What if nikikwambia hiyo ni mada inayowaumiza watu vichwa kila siku lakini INAWEZEKANA KURUDI TO THE PAST NA KUMUUA BABU YAKO NA WEWE UKAENDELEA KUEXIST!! kasome/google GRANDFATHER PARADOX.
Unamuua vipi wakati kashakufa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom