A Man from year 2256.. Time travel

A Man from year 2256.. Time travel

Movie ya continuum na story za time travellers, eti wanaulizana "when are you from"? Hahaha funny.
 
Habari wakuu..

Hivi unataamua kufanya nini kama ukiamka ukapata siri ya kusafiri na muda (time travel)
Yaani uwe na uwezo wa kuchagua muda wowote unaotaka kwenda.
Kwa mfano unaweza kwenda mwaka 2o99 then ukarudi sasa hivi 2018?
Au ukaenda mwaka 1944 ushuhudie vita ya pili ya dunia mubashara..

Sasa basi twende kwenye maada moja kwa moja..
Kuna watu wanaamini inawezekana ku time travel na wanatoa evidence zao kwamba inawezekana.
Moja ya evidence iliyopo ni jamaa mmoja aitwaye Andrew Carlssin yeye alifanya biashara ya kuinvest kwenye stoke market na mtaji wa dolla 800 ilikuwa ni mwaka 2003 baada ya week 2 akapata faida ya dolla milioni 350!!!.
FBI wakaona ni kitu kisichowezekana kwahio wakaanza kumchunguza. Walimkamata na kumfanyia mahojiano ili ifahamike ametumia trick gani kupata pesa hizo..

Baada ya kumbana sana aliwajibu kuwa yeye anatoka mwaka 2256 kwahio amekuja mwaka 2003 na time machine yake..
Na huko mwaka 2256 biashara hizo za fedha zimeendelea sana kwahio ukitumia ujuzi kidogo wa zama ambazo yeye anaishi unapata faida kubwa wakati wetu (2003).
FBI walishindwa kumuelewa wakajua labda atakuwa chizi
View attachment 684193

Walimuachia lakini baada ya kutoka hakuwahi kupatikana mpaka leo hii..



Ushahidi wa pili kuhusu ku time travel ni picha zinalizopigwa kombe la dunia 1962 ambapo kuna jamaa alionekana kashika mobile phoneView attachment 684203

Inasemekana jamaa alikua katoka dunia ya sasa hivi akawa ameenda kupiga misele na kucheki komba la dunia live la mwaka 1962..


Kuna picha nyingine ya jamaa kapiga pamba za kisasa miaka ya zamani sana ambapo utamaduni wa mavazi haya haukuwepo..View attachment 684209

...hio ni baadhi tu ya mifano kuelezea kua kumbe inawezekana kutoka sasa hivi 2018 na kwenda zako 1680's ushuhudie vasco dagama anavotua bongo...
Au uende zako 1961 ushuhudie uhuru wa tz mubashara..




Kama wewe ukipata siri hio utaenda mwaka gani??
Na kwa nini??
Yangu macho maana naona manyota nyota
 
aisee nimesoma sana na kufatilia hii issue ya time traveller....mm naamini kwa % fulani kutakuwa na ukweli,

dunia inasiri nyingi sana na muda unavyozidi kwenda ndio zinavyozidi kufichuja.

nikirudi kwenye swali kama ningeweza kurudi ningerudi miaka ya kuzaliwa nyerere.
 
aisee nimesoma sana na kufatilia hii issue ya time traveller....mm naamini kwa % fulani kutakuwa na ukweli,

dunia inasiri nyingi sana na muda unavyozidi kwenda ndio zinavyozidi kufichuja.

nikirudi kwenye swali kama ningeweza kurudi ningerudi miaka ya kuzaliwa nyerere.
Mimi ilikua kidogo niamini...lakini nilipowaza kama nikirudi enzi za babu yangu then nikamuua itakuwaje?? Ntazaliwa??
Kuanzia hapo nikaanza kufwatilia na kusoma vitabu kwa kujifurahisha kama story za ma allien tu
 
Achilia mbali molecular structure ku disintegrate, it is against the laws of physics for anything with mass to reach the speed of light.

Even if it has a very small mass, reaching the speed of light will be impossible because it will get heavier and heavier tending to infinity mass as it nears the speed of light.Every addition in velocity will require an insane amount of energy, up to the entire mass of universe.

In other words, the entire mass of the universe is not enough energy to move any massive object, no matter how small, at the speed of light.

This has been proved many times over by Einsteins Relativity equations.
Mkuu baada ya physics hii ...hizi zitakuwa story kama za ma allien na UFO tu
 
Mimi ilikua kidogo niamini...lakini nilipowaza kama nikirudi enzi za babu yangu then nikamuua itakuwaje?? Ntazaliwa??
Kuanzia hapo nikaanza kufwatilia na kusoma vitabu kwa kujifurahisha kama story za ma allien tu
hahaha hilo swali mm pia nimejiuliza sana,
wakati mwingine inawezekana ni uchawi na ushirikina maana kama ukienda ukamuua inamaana utabadilisha kila kitu hadi uwepo wako na ww...
 
hahaha hilo swali mm pia nimejiuliza sana,
wakati mwingine inawezekana ni uchawi na ushirikina maana kama ukienda ukamuua inamaana utabadilisha kila kitu hadi uwepo wako na ww...
Hahaaa sijui hio cycle itaishia wapi..maana ukimuua inamaana hauta exist tena then babu yako hata uwawa na wewe halafu weqe utazaliwa ... huu ujinga duh
 
Mkuu baada ya physics hii ...hizi zitakuwa story kama za ma allien na UFO tu
Hahaha, mkuu kwa physics inayojulikana sasa ya Standard Model of Particle Physics, Einstein's Theory of Relativity na Quantum Theory, kitu chochote chenye uzito, hata mdogo vipi, hakiwezi kufikia the speed of light in a vacuum.

Labda tugundue physics mpya na habari ambazo hazijajulikana bado.

Na kwa vile ambavyo vinaweza kwenda kwa speed of light, the universe has no time.

Everything happens at once, time stands still.

In theory, if you can pass the speed of light, you will start to move back in time.

But we have seen that, by the current physics, that is not possible.

One can slow down the passage of time significantly though.

Through time dilation, as one nears the speed of light.

Time dilation - Wikipedia
 
Mimi ilikua kidogo niamini...lakini nilipowaza kama nikirudi enzi za babu yangu then nikamuua itakuwaje?? Ntazaliwa??
Kuanzia hapo nikaanza kufwatilia na kusoma vitabu kwa kujifurahisha kama story za ma allien tu
What if nikikwambia hiyo ni mada inayowaumiza watu vichwa kila siku lakini INAWEZEKANA KURUDI TO THE PAST NA KUMUUA BABU YAKO NA WEWE UKAENDELEA KUEXIST!! kasome/google GRANDFATHER PARADOX.
 
Labda tugundue physics mpya na habari ambazo hazijajulikana bado.

Na kwa vile ambavyo vinaweza kwenda kwa speed of light, the universe has no time.
Kuna mtu anaitwa JOHN TITOR aliwahi jitokeza akasema yeye ni mwanajeshi toka mwaka 2036, na alitumwa na serikali ya wakati huo kwenda nyuma mpaka mwaka 1975 kuchukua aina fulani ya compyuta ambayo ufanyaji kazi wake ungewasaidia miaka yao (2036) kuweza shinda vita - anasema Marekani kipindi hicho ilikua inapigana vita vya wenyewe kwa wenyewe(civil war) hivyo alipitia mwaka 2000 kuchukua baadhi ya picha na vitu vya kumbukumbu ya familia yao vilivyopotea huko mbeleni.
Jamaa aliweza kuchora mchoro wa jeshi lao pamoja na kueleza ufanyaji kazi wa Time travel Machine aliotumia!. Kitu pekee hakuna aliyeweza muona kwa macho huyo jamaa maana alikua anapost mtandaoni kama hivi JF na baadae alipotea lakini kaachia wanasayansi maswali mengi sana!, kuna hadi taasisi zinaitwa jina lake zinafanya uchunguzi!.
 
Kuna mtu anaitwa JOHN TITOR aliwahi jitokeza akasema yeye ni mwanajeshi toka mwaka 2036, na alitumwa na serikali ya wakati huo kwenda nyuma mpaka mwaka 1975 kuchukua aina fulani ya compyuta ambayo ufanyaji kazi wake ungewasaidia miaka yao (2036) kuweza shinda vita - anasema Marekani kipindi hicho ilikua inapigana vita vya wenyewe kwa wenyewe(civil war) hivyo alipitia mwaka 2000 kuchukua baadhi ya picha na vitu vya kumbukumbu ya familia yao vilivyopotea huko mbeleni.
Jamaa aliweza kuchora mchoro wa jeshi lao pamoja na kueleza ufanyaji kazi wa Time travel Machine aliotumia!. Kitu pekee hakuna aliyeweza muona kwa macho huyo jamaa maana alikua anapost mtandaoni kama hivi JF na baadae alipotea lakini kaachia wanasayansi maswali mengi sana!, kuna hadi taasisi zinaitwa jina lake zinafanya uchunguzi!.

Nasoma kitabu cha sayansi ya ubongo cha Sapolsky kinaitwa "Behave: The Biology of Humans at Our Best and Worst".

Moja ya mambo aliyosema ni kwamba watu wanapenda kupata confirmation ya kile wanachotaka kuamini.

Kwa hiyo, kama unataka kuamini time travel inawezekana, mtu akiunga unga stories tu, unakuwa rahisi sana kuiamini.

John Titor - Wikipedia

...Subsequent closer examination of Titor's assertions provoked widespread skepticism. Inconsistencies in his explanations, the uniform inaccuracy of his predictions, and a private investigator's findings all led to the general impression that the entire episode was an elaborate hoax. A 2009 investigation concluded that Titor was likely the creation of Larry Haber, a Florida entertainment lawyer, along with his brother John, a computer scientist.[4]
 
Kwa hiyo, kama unataka kuamini time travel inawezekana, mtu akiunga unga stories tu, unakuwa rahisi sana kuiamini.
John Titor alikua ni mfano lakini nilichotaka tudiscuss ni kwamba nazani yawezekana kuitembelea past yako bila kuiharibu present yako. Kwa kupitia baadhi ya maandiko kama
-Grandfather paradox
-Causal loop
-Schrödinger's cat
-Echeverria and Klinkhammer's solution
-Time loop
 
John Titor alikua ni mfano lakini nilichotaka tudiscuss ni kwamba nazani yawezekana kuitembelea past yako bila kuiharibu present yako. Kwa kupitia baadhi ya maandiko kama
-Grandfather paradox
-Causal loop
-Schrödinger's cat
-Echeverria and Klinkhammer's solution
-Time loop
Mkuu nimejaribu kusoma hio grandfather paradox ingawa sijaielewa sana lkn inavyoelezea ni kwamba mtu akirudi kwenye past harudi kwenye past yake yaan anarudi kwenye parallel universe.
Ambapo akimiua babu yake anamuua babu yake wa kwenye paraller universe
 
Kuna mtu anaitwa JOHN TITOR aliwahi jitokeza akasema yeye ni mwanajeshi toka mwaka 2036, na alitumwa na serikali ya wakati huo kwenda nyuma mpaka mwaka 1975 kuchukua aina fulani ya compyuta ambayo ufanyaji kazi wake ungewasaidia miaka yao (2036) kuweza shinda vita - anasema Marekani kipindi hicho ilikua inapigana vita vya wenyewe kwa wenyewe(civil war) hivyo alipitia mwaka 2000 kuchukua baadhi ya picha na vitu vya kumbukumbu ya familia yao vilivyopotea huko mbeleni.
Jamaa aliweza kuchora mchoro wa jeshi lao pamoja na kueleza ufanyaji kazi wa Time travel Machine aliotumia!. Kitu pekee hakuna aliyeweza muona kwa macho huyo jamaa maana alikua anapost mtandaoni kama hivi JF na baadae alipotea lakini kaachia wanasayansi maswali mengi sana!, kuna hadi taasisi zinaitwa jina lake zinafanya uchunguzi!.
Huyu jamaa ndie yule jesuits aliyetumwa na father Andrew White (rejea kwenye jina la White House) kuhakikisha mkataba wa American indepence unasainiwa alafu akatoweka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom