carcinoma
JF-Expert Member
- Mar 5, 2017
- 5,059
- 13,719
Habari wakuu..
Hivi unataamua kufanya nini kama ukiamka ukapata siri ya kusafiri na muda (time travel)
Yaani uwe na uwezo wa kuchagua muda wowote unaotaka kwenda.
Kwa mfano unaweza kwenda mwaka 2o99 then ukarudi sasa hivi 2018?
Au ukaenda mwaka 1944 ushuhudie vita ya pili ya dunia mubashara..
Sasa basi twende kwenye maada moja kwa moja..
Kuna watu wanaamini inawezekana ku time travel na wanatoa evidence zao kwamba inawezekana.
Moja ya evidence iliyopo ni jamaa mmoja aitwaye Andrew Carlssin yeye alifanya biashara ya kuinvest kwenye stoke market na mtaji wa dolla 800 ilikuwa ni mwaka 2003 baada ya week 2 akapata faida ya dolla milioni 350!!!.
FBI wakaona ni kitu kisichowezekana kwahio wakaanza kumchunguza. Walimkamata na kumfanyia mahojiano ili ifahamike ametumia trick gani kupata pesa hizo..
Baada ya kumbana sana aliwajibu kuwa yeye anatoka mwaka 2256 kwahio amekuja mwaka 2003 na time machine yake..
Na huko mwaka 2256 biashara hizo za fedha zimeendelea sana kwahio ukitumia ujuzi kidogo wa zama ambazo yeye anaishi unapata faida kubwa wakati wetu (2003).
FBI walishindwa kumuelewa wakajua labda atakuwa chizi
Walimuachia lakini baada ya kutoka hakuwahi kupatikana mpaka leo hii..
Ushahidi wa pili kuhusu ku time travel ni picha zinalizopigwa kombe la dunia 1962 ambapo kuna jamaa alionekana kashika mobile phone
Inasemekana jamaa alikua katoka dunia ya sasa hivi akawa ameenda kupiga misele na kucheki komba la dunia live la mwaka 1962..
Kuna picha nyingine ya jamaa kapiga pamba za kisasa miaka ya zamani sana ambapo utamaduni wa mavazi haya haukuwepo..
...hio ni baadhi tu ya mifano kuelezea kua kumbe inawezekana kutoka sasa hivi 2018 na kwenda zako 1680's ushuhudie vasco dagama anavotua bongo...
Au uende zako 1961 ushuhudie uhuru wa tz mubashara..
Kama wewe ukipata siri hio utaenda mwaka gani??
Na kwa nini??
Hivi unataamua kufanya nini kama ukiamka ukapata siri ya kusafiri na muda (time travel)
Yaani uwe na uwezo wa kuchagua muda wowote unaotaka kwenda.
Kwa mfano unaweza kwenda mwaka 2o99 then ukarudi sasa hivi 2018?
Au ukaenda mwaka 1944 ushuhudie vita ya pili ya dunia mubashara..
Sasa basi twende kwenye maada moja kwa moja..
Kuna watu wanaamini inawezekana ku time travel na wanatoa evidence zao kwamba inawezekana.
Moja ya evidence iliyopo ni jamaa mmoja aitwaye Andrew Carlssin yeye alifanya biashara ya kuinvest kwenye stoke market na mtaji wa dolla 800 ilikuwa ni mwaka 2003 baada ya week 2 akapata faida ya dolla milioni 350!!!.
FBI wakaona ni kitu kisichowezekana kwahio wakaanza kumchunguza. Walimkamata na kumfanyia mahojiano ili ifahamike ametumia trick gani kupata pesa hizo..
Baada ya kumbana sana aliwajibu kuwa yeye anatoka mwaka 2256 kwahio amekuja mwaka 2003 na time machine yake..
Na huko mwaka 2256 biashara hizo za fedha zimeendelea sana kwahio ukitumia ujuzi kidogo wa zama ambazo yeye anaishi unapata faida kubwa wakati wetu (2003).
FBI walishindwa kumuelewa wakajua labda atakuwa chizi
Walimuachia lakini baada ya kutoka hakuwahi kupatikana mpaka leo hii..
Ushahidi wa pili kuhusu ku time travel ni picha zinalizopigwa kombe la dunia 1962 ambapo kuna jamaa alionekana kashika mobile phone
Inasemekana jamaa alikua katoka dunia ya sasa hivi akawa ameenda kupiga misele na kucheki komba la dunia live la mwaka 1962..
Kuna picha nyingine ya jamaa kapiga pamba za kisasa miaka ya zamani sana ambapo utamaduni wa mavazi haya haukuwepo..
...hio ni baadhi tu ya mifano kuelezea kua kumbe inawezekana kutoka sasa hivi 2018 na kwenda zako 1680's ushuhudie vasco dagama anavotua bongo...
Au uende zako 1961 ushuhudie uhuru wa tz mubashara..
Kama wewe ukipata siri hio utaenda mwaka gani??
Na kwa nini??