Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,532
- 225,084
Hata Mimi niliwaza Hili.. nikawa nasubiri tu litimiehaki nilijua tu lazima kuna mwanaume atakuja kusema kitu kama hiki maana ukiongelea swala la mwezini wao ndicho wanachowaza hicho nyambafu zao, sasa na mimi nimeshakuwa Zurri nataka anipe tafsiri ya hiyo sentensi katika kiswahili sanifu