A letter to my future lover

A letter to my future lover

haki nilijua tu lazima kuna mwanaume atakuja kusema kitu kama hiki maana ukiongelea swala la mwezini wao ndicho wanachowaza hicho nyambafu zao, sasa na mimi nimeshakuwa Zurri nataka anipe tafsiri ya hiyo sentensi katika kiswahili sanifu
Hata Mimi niliwaza Hili.. nikawa nasubiri tu litimie
 
Unataka niuwashe Moto eeeh
Kwanza tulishaambiwa hii I'd yetu eti
Hivi yaweza kuwa yako eeh??
Mmhh nani kasema??Hiyo ni yako tu maana wewe ndiye mwenye miaka 23 mimi na miaka yangu 42 wapi na wapi??
 
Precisely my thoughts! Baharia kinda started on a wrong foot. Hahaha!

I am so unlucky, after reading the whole thing, I saw this dudes comment first, I was like, this is how people fail exams right ? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣, How could he ? If my memory serves me right, the THICK LADY, does not like/will not like the "CHART" thing as she acquainted earlier.

BAHARIA The exchange of text or voice messages in real time, notably by internet is CHAT while CHART is a map. 🤣🤣🤣🤣
 
Precisely my thoughts! Baharia kinda started on a wrong foot. Hahaha!

If it was that serious, Baharia kashindwa hata kugoogle 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣, THIS IS A JOKE, si ndio mwongozaji ? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hahahaa nina sifa zote lkn kwa masharti hayo naona nitakuwa nimeolewa.
 

Hili jibu la kimataifa aise kama alitegemea utapanic nampa pole mapema kabisaaaaa hivi mbona mimi hamnifundishi majibu kama haya jamani??

Usimjibu mpumbavu kwa kadri ya upumbavu wake,usije ukafanana naye.
 

Hili jibu la kimataifa aise kama alitegemea utapanic nampa pole mapema kabisaaaaa hivi mbona mimi hamnifundishi majibu kama haya jamani??
Utajifunza kadri unavyozidi kuomba hekima.
 
Haswaa, kuna mwanaume niliwahi kumuuliza hili swali kwamba kwanini wanaume mnachagua wanawake ila hamtaki wanawake wachague wanaume akanijibu eti siku zote mnunuaji ndiyo anachagua bidhaa bali bidhaa haichagui mnunuaji lakini kutokana na muonekano wake na maisha yake sikumshangaa ila wanaume wa siku hizi hawataki kukubali kwamba dunia imeshabadilika wanalazimisha kuirudisha nyuma ila ndiyo imeshashindikana.
Wewe hutafuti mkuu....? Namaanisha mchumba kuna mchumba wangu ananikimbiza mbio amesema soon ataniacha nataka akiniacha tu nije nikutongoze PM.
 
Back
Top Bottom