Naona wanaume ambao hamna qualifications mnateseka sana. Wenye qualifications zao wametuma PM zinazoeleweka.
.
Jamani, hata ukienda kununua bidhaa mahali utaanza kuiponda range rover kwasababu uwezo wako ni IST. Au utaiponda iPhone X. Mara oh, barabara ni ileile, range rover ya nini.
Kama uwezo wako ni IST usione wanaopanga plans kununua range rover ni matahira na kuwa hawataweza.
.
We tulia ndani ya uwezo wako kaa kimya, mbona wanaume wazima mnakesha kunisuta mwanamke kisa hamna qualities nazozitaka? Mnaumia nini? ?
.
Narudia tena, yani hapa mnabishana na Simba jike. I'm not your average kinda woman. I'm a different breed.
.
Na huwezi kuta mwanaume mwenye IQ zake na ndevu anabishana na mwanamke usiku. Nasema hivi, poleni sana.
Mtu mwenyewe wewe ndio wa kutesekea? Kwa lipi hasa wakati wewe ni rejected tu kwanzia kwenu mpaka mitaani unakoishi?
Na umri wako wa miaka 23 tayari umeshaanza kuzurura mitandaoni una tafuta mabwana wakati wenzako wenye mvuto wao wanapokuwa kwenye umri huo ndio kipindi ambacho wana sumbuliwa na wanaume kibao wa kila kariba.. wanakuwa na options nyingi ni kitendo cha ku-pick tu mwanaume mwenye vigezo anavyohitaji wala hawawezi kuja kutafuta bwana mtandaoni hata kidogo.
Mara nyingi mtu anayekuja mtandaoni huku ni yule aliyekosa soko huko mitaani anakoishi, na anakuja huku kujaribu bahati out of desperation baada ya kuona hakuna mwanaume anayeshoboka na yeye hasa wale wenye sifa anazozihitaji wanampita tu kama kisiki.
Na wengi wao tunaowaona hapa ni wale ambao umri umesogea kidogo, sasa wewe na umri wako wa miaka 23 hakuna anayekutaka huko mtaani je ukifika kwenye 28-29 si ndio utakuwa unaonekana taka taka kabisa hata chizi hawezi kukuangalia mara mbili.
Dumb ass b'tch you must be ugly AF.
Unajifanya kuleta u-much knowing hapa wakati ni katahira fulani tu ambako kako utumwani kwa kuiga kila kitu cha magharibi!!
Eti wanaume wenye qualifications zao wametuma, ni mwanaume gani mwenye akili zake timamu anaweza akakuchukulia serious westernized dunderhead kama wewe!?
Hii avatar yako tu inaelezea kila kitu kuhusu wewe, inakuonesha wewe ni kajitu ka aina gani.
Huna akili hata kidogo i would rather date a goat than making a move to dumb ass harlot like you.