DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,611
- 30,110
Unatumia acc yenye jina lipi twitani. Nina zawadi nono kwa ajili yako.Hii kitu nimeiona kule Twitter, naona mmehamishia jf
Unatumia acc yenye jina lipi twitani. Nina zawadi nono kwa ajili yako.Hii kitu nimeiona kule Twitter, naona mmehamishia jf
itakua mawenge tu ya usingiz bbyMmh cjui nimesoma vbaya au
hahaaaaMwanamke akigoma kujibu pm zako tongozea hapa hapa jukwaani hata kamajukwaa la siasa.
ova. Asprin gonga like kwa kuipitisha rasimu.
Hahaha,aisee anapiga mbizii tu!kwaiyo mshikaji wako sasa ivi anaogelea tu bwawani
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Mkuu pambana tu ipo siku atalainika,
Kuna mshkaj wangu ashamfuatilia mdada miaka tisa,yaani huyoo dada aliolewa akaachika na watoto watatu,ndio akamkumbalia mshkaj!
Tunajiongeza....Sasa mtu unampiga mistari wenyewe chumbani haingii utafanyaje?
bila kupendelea jaribu kuvaa uhusika wangu... Nalendwa umemfuata inbox dada nakupenda hajibu. kesho tena vile vile.. haya nitumie namba nikutumie mpesa hataki..
si unamfuata huko jukwaa la kimataifa?
Dear Wife to Be.
Ningekupost hapa lakini unajichelewesha mwenyewe, mimi niko tayari hata leo. Tatizo simu hutaki nikupigie, unaweka standard ambazo zimevuka mipaka. Sasa mimi nifanyeje.?
Text PM hutaki kujibu. Nifanyeje lakini wife to be ?
Mi pia nina moyo.
Nitakupost lini my wife to be?
piga chini kwanini akusumbue kiasi hicho!Dear Wife to Be.
Ningekupost hapa lakini unajichelewesha mwenyewe, mimi niko tayari hata leo. Tatizo simu hutaki nikupigie, unaweka standard ambazo zimevuka mipaka. Sasa mimi nifanyeje.?
Text PM hutaki kujibu. Nifanyeje lakini wife to be ?
Mi pia nina moyo.
Nitakupost lini my wife to be?
[emoji16] [emoji16] [emoji16][emoji3] naona umerudi na nguvu mpya! [emoji38]
Wewe Munchkin wewe!
We haya We...lol!
Mkuu hiyo siwez sema hata kwa mtutuUnatumia acc yenye jina lipi twitani. Nina zawadi nono kwa ajili yako.
Manka ,roho ya uchoyo umeipata wapi ?Mkuu hiyo siwez sema hata kwa mtutu
Nimeanza kujifunza toka Magu aingie madarakaniManka ,roho ya uchoyo umeipata wapi ?
Huwa nakakumbuka kale kaujumbe ka kungekuwa na kauwezekano ka kumkimbiza umpendae sijui ingekuwaje tu[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Ukiona hivyo nayeye ana husband to be mwingine humu sio ww
Tour guider , hii kazi utaimaliza kweli ?Mmmmmmh!.....