A letter to my dear wife

A letter to my dear wife

Afadhali leo umejiraja, maana tangia aliponipa nywila yake huwa naona PM zako pamoja na SMS/MMS.
Sasa naomba nikuonye hapahapa hadharani kama ulivyo amua kujitangaza, kuanzia leo iwe mwanzo na mwisho kuwasiliana nae....[emoji53] [emoji16]
 
Afadhali leo umejiraja, maana tangia aliponipa nywila yake huwa naona PM zako pamoja na SMS/MMS.
Sasa naomba nikuonye hapahapa hadharani kama ulivyo amua kujitangaza, kuanzia leo iwe mwanzo na mwisho kuwasiliana nae....[emoji53] [emoji16]
Hahaha,Mkuu mbona unamtisha jamaa,unataka kumpeperushia ndege wake!
 
Hahaha,Mkuu mbona unamtisha jamaa,unataka kumpeperushia ndege wake!
Mkuu, misimtishi mtu.... Ila ngoja aingie kwenye 18, na hapo ndipo atakapojua kwamba kumbe maharage ni mboga ya serikali
 
Mwanamke akigoma kujibu pm zako tongozea hapa hapa jukwaani hata kamajukwaa la siasa.

ova. Asprin gonga like kwa kuipitisha rasimu.
nasubiri unitongoze ujue..jf si imesharudi lakn
 
nasubiri unitongoze ujue..jf si imesharudi lakn
utanikubalia kwanza au unataka tu ukaniabishe kwa shoga zako umenipigakibuti.

kama utanikubalia zege sililazi leo kweli.
 
unaona mambo yako sasa.... niambie basi.
nikwambie nn we si unazingua kila siku nakwambia nitumie mpesa hutakiii...uniwacheeee [emoji126] [emoji126]
 
Mkuu pambana tu ipo siku atalainika,

Kuna mshkaj wangu ashamfuatilia mdada miaka tisa,yaani huyoo dada aliolewa akaachika na watoto watatu,ndio akamkumbalia mshkaj!
kwaiyo mshikaji wako sasa ivi anaogelea tu bwawani
 
Back
Top Bottom