A.K.U arusha yavamiwa, yachomwa moto!

A.K.U arusha yavamiwa, yachomwa moto!

al-karim

Member
Joined
Dec 23, 2009
Posts
25
Reaction score
1
Wenyeji wavamia shamba la Aga Khan University aka A.K.U (zamani Manyara Estate, Kisongo) na kuwasha moto MKUBWAA. Wakazi wa jirani wanadai kuwa uvamizi huo ni kwasababu ya kunyimwa eneo la kulishia mifugo yao ndani ya shamba hilo. Habari zingine ntaziupdate kesho!!
 
Back
Top Bottom