Mkuu mshana jr kuna tofauti kati ya ibirisi na Lucifer???!
Aiseee!!!nmejua tofaut tiyar
Mmh. Hapo namba 4. Kama cjakuelewa vile tiba kivipi?
Siku hizi hiyo ni unsupported format kwakuwa porn pics na videos zipo kila mahali lakini hata miaka ya karibuni kabisa imean wayback 90,s kwenye boarding schools hasa za wanawake kulikuwa na ugonjwa maarufu wa kuchekacheka na tiba yake ilikuwa ngono
Umenifanya nicheke mpaka watu wananishangaa mimi nilimaanisha hysteria ujue
Mmh yanaogopeshaShost kuna mambo mazito huku eti. Karibu
Mmh yanaogopesha
Ubudha si ushetani lakini pia hauna Uungu ndani yake
Unajua kuna shetani(ibilisi) na Lusifer hawa wawili wote ni roho walioasi toka mbinguni
Shetani ndiye aliyemdanganya(kumwambia ukweli? )hawa Kisha akalaaniwa
Lucifer yeye alitaka kuwa kama Mungu yaani apate mamlaka na uwezo wa kimungu! Lakini akashindwa na kutimuliwa mbinguni
Kwahiyo Shetani alilaaniwa na kufukuzwa kutoka Eden lakini Lucifer yeye hakulaaniwa bali allifukuzwa toka mbinguni....kufika huku duniani shetani akawa ni roho kamili ya ibilisi inayodanganya na kupotosha watu
Lakini Lucifer yeye akachukua umbo la mwanadamu na kuendelea na mkakati wake wa Kupata uwezo na akili zaidi Ili Amfikie Mungu ndipo hapo synagogue la kwanza la luceferianism lilianzishwa na as time goes on wakatokea kina Illuminati Freemasons Buddhism confuscious nknk
Mungu wangu! wengine tuna kaugonjwa ka kucheka cheka lakini hamna uhusiano na hiyo tiba. Kuanzia leo sicheki tena ukauzu tu.
nitafute nikupe dawa
Tuendelee na simulizi
Chuoni tulikuwa na nyakati za furaha pia
Siku za Jumapili kwakuwa ilikuwa kama visiting day tulipata wageni wengi sana na chakula kilikuwa kizuri
Jumatatu pia kwakuwa ndio siku ya mapunziko
Tukialikwa kwenye matamasha na mashindano ya martial arts
Lakini cha Ajabu kuliko zote ilikuwa tukialikwa kwenye misiba
Huko kulikuwa kuzuri Sana kwakuwa baada ya kumchoma marehemu(cremanation) tuliandaliwa misosi ya maana Sana, Yani tulikuwa hatuoni soo kabisa kuiandaa maiti mwanzo mwisho mpaka kuichoma moto kishapo kwenda Kura as if tuko kwenye Sheree.... Binafsi nilichoma zisizopungua 20. Naomba niseme tu Kwamba sikuwa na hisia zozote juu ya wale marehemu
Chuoni pia tulikuwa na likizo na kipindi cha likizo tulipelekwa sehemu mbalimbali kutembea kama watalii kabisa! Nimetembea nchi na miji mingi sana kwasababu ya hiki chuo