Kisoda James
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 1,114
- 812
Nimeelewa sasaHitajiko la malighafi na nguvu kazi huko kwao ndio chachu iliyowapelekea kuja Africa .wakati sisi hatukuwa na mahitaji hayo kwa kiasi kikubwa hivyo tako zetu zililia bwata. Kama ilivyo mchukue mtoto wa masaki na uwanja wa fisi uwapambanishe basi utapata majibu.. n.b wazungu walianza kutawalana na kutumikishana wenyewe kwa wenyewe na kutokana na hali ngumu za kimazingira na kimaisha kiujumla mfumo wao ulikuwa strongest to survive hivyo waligaa gaa sana kutafuta ukuu ili wazidi kujiimarisha wakati sisi tukilewa neema ambayo wenzetu hawakuwa nayo
thanks. umenena@Hitajiko la malighafi na nguvu kazi huko kwao ndio chachu iliyowapelekea kuja Africa .wakati sisi hatukuwa na mahitaji hayo kwa kiasi kikubwa hivyo tako zetu zililia bwata. Kama ilivyo mchukue mtoto wa masaki na uwanja wa fisi uwapambanishe basi utapata majibu..
UmemalizaKwasababu tulikuwa na resources za kutosha kwa hiyo hatukuwaza kukimbia kwenda mbali
Alexander
Unamaanisha nini kwa hii statement yako?Kwanza kabisa, sijawahi kuona mtu mweusi.
Namaanisha black ya #000000
Kama ya haya maandishi.
Habari nzima ya "mtu mweusi" na "mtu mweupe" ni hadithi ya kutungwa na watu ili waweze kubaguana vizuri.Unamaanisha nini kwa hii statement yako?
Labda wewe ndo unamapungufu kichwaniHuwa nasimama katika hili, waafrika tuna eidha mapungufu au laana na laana mojawapo tuliyobarikiwa ni kuwa na CCM
Kustaarabika ni kitu gani na kwa aina gani.. Unaweza sema ushoga ni ustaarabu..Sidhani kama waafrika tuna akili tofauti na watu weupe au wazungu. Nachoona ni wenzetu waliwahi kustaarabika na kuendelea kabla yetu na waliweza kugundua vingi kabla yetu hivi hapo ndipo walipotuzidi.
Ila kama ubaguzi usipokuwepo kabisa duniani na mtoto wa kiafrika na kizungu akakuzwa katika mazingira sawa utakuta akili zao zinafanya kazi sawa. Mfano ni mashirika kama FBI ambapo kuna watu weupe na weusi na wote wanapiga mzigo sawa sema kutokana na ubaguzi mweupe atafanywa awe kiongozi wa mweusi
Ushoga kamwe hauwezi kuwa ustaarabu kwa afrikaKustaarabika ni kitu gani na kwa aina gani.. Unaweza sema ushoga ni ustaarabu..
Watu wengi sana wamechangia points nzuri na sasa ni zamu yakoNilithani ndani kuna nyama nyama kujuu ya kichwa hicho cha habari
sawa mkuu@Siyo kwamba tulishindwa lahasha...
Ila sasa wao wanaingilia mambo yenu? Au sio ndugu?Tulikua na mambo yetu, hatukutaka kuingilia mambo yao...
Jibu zuri sana mkuuBila kuathiri majibu ya watu wengine, sababu ya ziada ninayofikiri ni kwamba inawezekana Wazungu walikuwa na shida nyingi kuliko Waafrika. Kabla hawajagundua teknolojia watu wao wengi walikufa kutokana na mazingira magumu ya kuishi, ikiwa ni pamoja na baridi kali, njaa, magonjwa nakadhalika -- yaliyotokana na jiografia ya nchi zao. Ilibidi watumie akili za ziada kuishi. Wakajikuta wanatoka 'nje ya box' hadi kufika kwetu. Kwa upande wetu huku Africa, Mungu alitupendelea sana kwa raslimali nyingi, hali ya hewa nzuri n.k. ikawa huhitaji kutumia akili nyingi sana 'kusavaivu' Afrika. Tukabweteka. Bahati mbaya sana tunaendelea kubweteka hadi leo.
sawaJibu zuri sana mkuu
Ccm ni laana mbaya zaidi kwa watzHuwa nasimama katika hili, waafrika tuna eidha mapungufu au laana na laana mojawapo tuliyobarikiwa ni kuwa na CCM
Masuala ya CCM yanafuata nini katika uzi huu kijana?Ccm ni laana mbaya zaidi kwa watz
Huyu jamaa anaelewa lugha inayozungumzwa hapo?
Hata mimi ninashangaa sana mkuuHuyu jamaa anaelewa lugha inayozungumzwa hapo?