A BITTER TRUTH: Kwanini watu weusi walishindwa kwenda Ulaya/Amerika (Ughaibuni) kuwachukua wazungu (Whites) kisha kuwaleta Afrika kuwafanya watumwa?

Nimeelewa sasa
 
thanks. umenena@
 
Unamaanisha nini kwa hii statement yako?
Habari nzima ya "mtu mweusi" na "mtu mweupe" ni hadithi ya kutungwa na watu ili waweze kubaguana vizuri.

Kwamba, hizi catwgory za rangi za watu hazipo,na hata rangi zilizopo hazina ukomo maalum wala wa kueleweka kisayansi.

Kwamba, huu ni mfumo arbitrary watu wamejitungia tu.

Kisayansi, hakuna significant difference kati ya watu inayotokana na rangi ya ngozi ya mtu.

Na hao wengi wanaofikiriwa jwamba ni weupe wana mchanganyiko mwingi sana na na wanaofikiriwa juwa ni weusi.

Msome James Baldwin utaona kaandika hata mambo miaka mingi sana, racw us a made up thing.

Nimetoka kusoma " Between The World And Me" cha Ta-Nehisi Coates, anazungumzia sana hii hadithi ya "watu weusi" na "watu weupe".
 
Kustaarabika ni kitu gani na kwa aina gani.. Unaweza sema ushoga ni ustaarabu..
 
Jibu zuri sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…