Kisoda James
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 1,114
- 812
Nimeelewa sasaHitajiko la malighafi na nguvu kazi huko kwao ndio chachu iliyowapelekea kuja Africa .wakati sisi hatukuwa na mahitaji hayo kwa kiasi kikubwa hivyo tako zetu zililia bwata. Kama ilivyo mchukue mtoto wa masaki na uwanja wa fisi uwapambanishe basi utapata majibu.. n.b wazungu walianza kutawalana na kutumikishana wenyewe kwa wenyewe na kutokana na hali ngumu za kimazingira na kimaisha kiujumla mfumo wao ulikuwa strongest to survive hivyo waligaa gaa sana kutafuta ukuu ili wazidi kujiimarisha wakati sisi tukilewa neema ambayo wenzetu hawakuwa nayo