No no hapana hapana think outside the box.Kuna kitu kinaitwa Xfiles.Yuda hana ubaya wowote kwenye imani kwani hasingefanya hivyo NENO HASINGETIMIA even Jesus we dc.
Tatizo la kukalili hilo .
hakuna neno linalosema YUDA atamsaliti YESU bali kna mmoja atamsaliti ilikua c lazma awe yuda ila kwa sababu alikubali kutumiwa na shetani ndo akamsaliti,