ndandambuli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 973
- 665
- Thread starter
- #101
Hata kama kuna watu wengi duniani anyekuvutia ni yule uliyeko karibu naye,bila kujali kama kazaliwa pamoja na mwenzi wako.Inategemea huyo mwanamke au mwanaume umemuokota wapi
Mwanaume/mwanamke timamu hawezi kulala na ndugu wa damu wa mume/mkewe.
Ni watu wajing wajinga wakuokoteza walioshindikana huko mnawaweka ndani ndo wanakuja kutia aibu ukoo....
Kuna wanaume/wanawake wangapi duniani mpk uje utembee na mdogo wa mkeo ili hali unajua hawa ni tumbo moja