Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 18,204
- 17,561
- Thread starter
- #21
Utavumilia siku90 jombaa?!Duuuh
Utavumilia siku90 jombaa?!Duuuh
HahahahahaHahaha!, lakini Money P.
Chem chem yako ya ideas huwa haikauki kabsa!, you seem to be super creative. Sasa nimekupata vizuri toka kwenye ule uzi wako wa kuwa Celebrity. No wonder you're an Enterprenuer.
KwaniniHqpana siwezi kusubiri muda wote huo
HahahaKama ni wa hali fulani hivi nasubiri. Ila ole wake hizo 90 ziishe!!!!!
Jibu na weeeTuwasubiri
Doh majangaMimi kama TRA nadai kodi kabla ya biashara.
.Yaani unibanie mimi kwa siku 90, halafu umpe mwingine. Kwa mtindo huo hata hela yangu itakaa kwa siku 90 ili iongezeke.
Unaongea na mimi Unaongea na JF?!Hahaha!! Money penny anashughulisha ubongo wake ati.
Hebu namimi Ngoja nijaribu kuwa'creative,
"Nalendwa 2016 August 09 + Agust 09 Alisina" hapo umegundua nini..?
Mmmh hayaSiku tisini sawa na miezi mitatu.
Kama mahusiano yetu yatakuwa na changamoto ya umbali(distance)hilo la miezi mitatu kwangu linaweza kutokea,lakini kama tukaribu wote inakuwa ngumu kiasi flani.
Kubwa zaidi ni msingi wa penzi lenu ukoje na mnakubaliano vipi na mitazamo gani katika penzi lenu.
Hahahahaha
90 days rule mama sita
Na wewe unawapaga boys 90 days rule au one night stand?!
HahahahahaHiyo kitu hakunaga
NdioHiyo 90 days unakua pia unachukua hela!?
Hapana,Unaongea na mimi Unaongea na JF?!
Doh majangaHahah!, my dear am way past that..
Lakini hii ya 90 days rule naona bado ina apply to some. Nilimsikia talk show host Steve Harvey recently akiongelea hii, about not giving out a cookie for at least 90 days.
Doh kwani unanunua Malaya? !90 za nini? Tunakutana leo na kumalizana leo
90 days ni nyingi sana yani miezi mi3 hiyo, sasa hao tunawaitaga ni watumishi hewaJibu na weee