90 Days Rule Bado Inatumika kwenye Mahusiano?!

90 Days Rule Bado Inatumika kwenye Mahusiano?!

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
18,204
Reaction score
17,561
Je bado kuna wanawake wanatumia 90 days rule?!

Kwa maana wakipata wa(m)penzi wanakaa nae siku 90 bila kufanya nae mapenzi/ ngono/matusi? !

Kama wapo nipeni triki zenu za sasa mana sisi wahenga tunazo triki za zamani

Ingawa hapa kuna dada ananiambia inasaidia kufanya uwe mtamu zaidi maana huku chini kuna-rejuvenate na kuwa kupya pia alitumia hizi juice therapy za matunda ambazo zinasaidia kuondoa harufu ya ukeni

Bado kuna wanaume wanamvumilia demu siku 90 ndio aje alale nae baada ya siku 90 (miezi 3?!)

 
Je bado kuna wanawake wanatumia 90 days rule?!

Kwa maana wakipata wa(m)penzi wanakaa nae siku 90 bila kufanya nae mapenzi/ ngono/matusi? !

Kama wapo nipeni triki zenu za sasa mana sisi wahenga tunazo triki za zamani

Ingawa hapa kuna dada ananiambia inasaidia kufanya uwe mtamu zaidi maana huku chini kuna-rejuvenate na kuwa kupya pia alitumia hizi juice therapy za matunda ambazo zinasaidia kuondoa harufu ya ukeni

Bado kuna wanaume wanamvumilia demu siku 90 ndio aje alale nae baada ya siku 90 (miezi 3?!)


Je, Mzigua90 kuna ukweli wowote?
 
Hahaha!, lakini Money P.

Chem chem yako ya ideas huwa haikauki kabsa!, you seem to be super creative. Sasa nimekupata vizuri toka kwenye ule uzi wako wa kuwa Celebrity. No wonder you're an Enterprenuer.
 
Yaani unibanie mimi kwa siku 90, halafu umpe mwingine. Kwa mtindo huo hata hela yangu itakaa kwa siku 90 ili iongezeke.
 
Hahaha!, lakini Money P.

Chem chem yako ya ideas huwa haikauki kabsa!, you seem to be super creative. Sasa nimekupata vizuri toka kwenye ule uzi wako wa kuwa Celebrity. No wonder you're an Enterprenuer.
Hahaha!! Money penny anashughulisha ubongo wake ati.

Hebu namimi Ngoja nijaribu kuwa'creative,

"Nalendwa 2016 August 09 + Agust 09 Alisina" hapo umegundua nini..?
 
Siku tisini sawa na miezi mitatu.

Kama mahusiano yetu yatakuwa na changamoto ya umbali(distance)hilo la miezi mitatu kwangu linaweza kutokea,lakini kama tukaribu wote inakuwa ngumu kiasi flani.

Kubwa zaidi ni msingi wa penzi lenu ukoje na mnakubaliano vipi na mitazamo gani katika penzi lenu.
 
Back
Top Bottom