Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 10,088
- 15,668
Mwambie tena unamtaka sanaNg'ombe hazeeki maini bhanaa! We bado mbichi nakutamanijeee! Ha ha ha haaaaa (lazima ntakupata tu)
Mwambie tena unamtaka sanaNg'ombe hazeeki maini bhanaa! We bado mbichi nakutamanijeee! Ha ha ha haaaaa (lazima ntakupata tu)
Yule bro ivuga alikimbia siku ileUsiogope
Simwambii atajisikiaaa mnoo!Mwambie tena unamtaka sana
Njoo bhanaHa ha haha siji ng'ooo
Hahahahaaaa Atajisifia uAfrika wake etiiiSimwambii atajisikiaaa mnoo!
Sukari ya warembo huyo! Mie ntakuwa sukari guruHahahahaaaa Atajisifia uAfrika wake etiii
Mwanamke akisha nyoa sijui namwonaje, watu tupo tofauti...I'll lean on this... mwanamke akinyoa anapendeza hatari... au akifuga nywele basi azibane nyuma ila ziwe dried.
Sasa unakuta mtu kacomplicate kasuka sijui drogba sijui Msuko gani.. ukimwambia mama umependeza ukiwa hivi anajua unamnyima pesa ya saloon
Wanaonyoa nini mkuu??Mimi napenda wanaonyoa,nikiwaambia watu huwa hawaamini
Mwanamke akisha nyoa sijui namwonaje, watu tupo tofauti...
Mimi ndio nimemuoa huyo demu mkali hapo
Dogo adi siku hizi unahangaika kutongoza?Njoo bhana
Marasta na mba vpBasi leo wanaume wooote watajifanya wanapenda wanaonyoa na kuvaa hijab. Teh teh.
Sie wengine tunaambiwaga hivi..... View attachment 640121
Tusichoshane, kila mwanaume ana vile anavyopenda mkewe aonekane.
May be wale wanaosuka vitu havieleweki nao kuna wanaowapenda,
kuna kusuka buanaaa, mtu unasuka mpaka unajiona urudi on your 10's.