Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,406
Hahahahhaha
Kuna visungura tu mbuzi Pia hawapo
Kuna visungura tu mbuzi Pia hawapo
njoo pm nikuonyeshe
Hahahahhaha
Umenishinda tabiaHuko kwenu kuna visungura huku Dodoma kuna ng'ombeee
Kuna Ng'ombe mafuta wazee pub jioni. Karibu!Huko kwenu kuna visungura huku Dodoma kuna ng'ombeee
Kwasasa tumebaki Majogoo, mbuzi ziliisha kipindi cha Ben na Jk.Hivi bongo kuna mabuzi au mbuzi....me mbona siyapati jomonii,..
Laki na nusu hii!Nyie lalamiken wenzenu wanatoa mikwanja kama kawaView attachment 1139597
Fanya kunigaia hzo tatu tu shostiNyie lalamiken wenzenu wanatoa mikwanja kama kawaView attachment 1139597
Huko kwenu kuna visungura huku Dodoma kuna ng'ombeee
Hahaha ndio maana umepaka wanja wa mkaa kumbeee....😆Njoo huku namtumbo wapo wengi
Siku zima likemeka Home hakuna kazi yeyote anayo ifanya ata usafi Zero kazi tu kuagizia chips na kuangalia tamthilia same time wapo kwenye social media kama insta .badoo na tinder kuwachuna mabuzi A.K.A mabwege .. haya endeleyeni na iyo kazi ila yanamwisho mbaya
Mwenza tutakuwa tuna mikosi.Hivi bongo kuna mabuzi au mbuzi....me mbona siyapati jomonii,..
sasa jeHahaha ndio maana umepaka wanja wa mkaa kumbeee....
Umenishinda tabia
zauswelo ...
Kuna Ng'ombe mafuta wazee pub jioni. Karibu!