Juzi Bwana mkubwa aliporudi ziarani, aliongea uwanjani na waandishi akasema kuwa,haiwezekani kwake kupendwa na watu wote, kwa sababu watu wanatofaotiana kimtazamo, asilimia 15 ya watu wanaweza kumpenda, asilimia 15 watamchukia hata afanye mema, na asilimia 70 wanafata upepo!! Wadau kuhusu hii asilimia 70 ya wa tz kufata upepo haijanikalia sawa, kwa kweli inatoa picha mbaya, inaonyesha kuwa asilimia 70 ya Wa tz ni mambumbumbu??? Great thinkers nakuombeni mtoe mchango wenu kuhusu hii asilimia 70 !!
akiwemo yeye mwenyewe
politicians wajanja sana, jamaa amekwepa issue ya msingi pale ambayo ilikuwa anatakiwa aeleze kwa nini anasitasita kuchukua maamuzi mazito yanayojumuisha issues za richmod,meremeta,tangogold, kagoda to mention few of them. Badala yake akaingiza issue nyingine watu wa i discuss
labda atakapojibu atuambie hatua zitakazochukuliwa kuhusu mambo mazito yanayosemwa badala ya kujibu vijembe vya kisiasa
Hapa sasa naamini kuwa na yeye alichaguliwa na hao 70% wanao fuata upepo hawakujua kwa nn wanamchagua.
Hapa sasa naamini kuwa na yeye alichaguliwa na hao 70% wanao fuata upepo hawakujua kwa nn wanamchagua.