6 Months experience na TTCL Fiber

Ginolaaa

Member
Sep 26, 2014
36
54
Habari Wana jamii,,nimeamua kuanzisha hii thread Ili kuelezea experience yangu na TTCL Fiber Ili iwe faida Kwa wengine wanaotaka kufahamu ..

Nitaelezea ufanisi wake kulingana na matumizi ya mtu husika..Miezi SITA iliyopita niliunga kifurushi Cha 55k ambacho ni 20MBPS. Hakuna installation fee zaidi ya kulipia tu kifurushi chako...Makundi ni yafuatayo.

1. OFFICE USE hapa out of 10 naipa rating ya 9.5 Kwa sababu iko reliable Complete outage ni mara chache na speed ni nzuri around 19mbps.

2. STREAMING hapa out of 10 naipa rating ya 8.5 Kwa sababu most of the time it's possible kupata 1080p hd quality na 720p all the time without buffering ..

3. GAMING hapa out of 10 naipa rating ya 0.5 at first 2 weeks ping ilikua vizuri ukitumiA VPN Fifa 23 Ping ilikua 55ms lakini baada ya apo ikawa 150ms plus..

my take Kwa matumizi ya kiofisi na streaming inafaa ila kama unataka kupata better experience in gaming achana nayo labda ujaribu kucheki package zao za juu.
 
Habari Wana jamii,,nimeamua kuanzisha hii thread Ili kuelezea experience yangu na TTCL Fiber Ili iwe faida Kwa wengine wanaotaka kufahamu ..

Nitaelezea ufanisi wake kulingana na matumizi ya mtu husika..Miezi SITA iliyopita niliunga kifurushi Cha 55k ambacho ni 20MBPS. Hakuna installation fee zaidi ya kulipia tu kifurushi chako...Makundi ni yafuatayo.

1. OFFICE USE hapa out of 10 naipa rating ya 9.5 Kwa sababu iko reliable Complete outage ni mara chache na speed ni nzuri around 19mbps.

2. STREAMING hapa out of 10 naipa rating ya 8.5 Kwa sababu most of the time it's possible kupata 1080p hd quality na 720p all the time without buffering ..

3. GAMING hapa out of 10 naipa rating ya 0.5 at first 2 weeks ping ilikua vizuri ukitumiA VPN FC 24 Ping ilikua 55ms lakini baada ya apo ikawa 150ms plus..

my take Kwa matumizi ya kiofisi na streaming inafaa ila kama unataka kupata better experience in gaming achana nayo labda ujaribu kucheki package zao za juu.
Kama Kuna mtu atahitaji details zaidi kuhusu ufanisi kuwa huru kuuliza
 
Nilijaribu Kwa hotspot tu ila signal za Airtel cjawahi zifaidi it’s very poor kwenye data kuliko mitandao yote
Una maana ya hizi wireless? Kampuni zote, i.e. Voda, Togo, Airtel etc ufanisi wa mtandoa unategemea na uko mbali kiasi gani kutoka kwenye mnara. Kuna kipindi nilikuwa naishi karibu kabisa na mnara wa Airtel, nakuhakikishia nilikuwa nakula raha sana. Mpira nilikuwa naangalia kwa kutumia computer kama natumia TV.
 
Habari Wana jamii,,nimeamua kuanzisha hii thread Ili kuelezea experience yangu na TTCL Fiber Ili iwe faida Kwa wengine wanaotaka kufahamu ..

Nitaelezea ufanisi wake kulingana na matumizi ya mtu husika..Miezi SITA iliyopita niliunga kifurushi Cha 55k ambacho ni 20MBPS. Hakuna installation fee zaidi ya kulipia tu kifurushi chako...Makundi ni yafuatayo.

1. OFFICE USE hapa out of 10 naipa rating ya 9.5 Kwa sababu iko reliable Complete outage ni mara chache na speed ni nzuri around 19mbps.

2. STREAMING hapa out of 10 naipa rating ya 8.5 Kwa sababu most of the time it's possible kupata 1080p hd quality na 720p all the time without buffering ..

3. GAMING hapa out of 10 naipa rating ya 0.5 at first 2 weeks ping ilikua vizuri ukitumiA VPN Fifa 23 Ping ilikua 55ms lakini baada ya apo ikawa 150ms plus..

my take Kwa matumizi ya kiofisi na streaming inafaa ila kama unataka kupata better experience in gaming achana nayo labda ujaribu kucheki package zao za juu.
Hapo kwenye gaming, ukishaweka VPN tu, speed unayopima si purely ya TTCL tena, unapima speed ya TTCL baada ya kuiingiza TTCL kwenye VPN.

VPN inaongeza usalama kwa kuweka encryption, lakini hiyo encryption inapunguza speed.

Hivyo, ukitaka kuifanyia haki connection ya TTCL, ipime kwenye game bila ya VPN. Inawezekana una tatizo la slow VPN.

Unaweza pia kuipima speed ya TTCL fiber na VPNs tofauti ili kuona speed inabadilikaje na VPNs tofauti.
 
Hapo kwenye gaming, ukishaweka VPN tu, speed unayopima si purely ya TTCL tena, unapima speed ya TTCL baada ya kuiingiza TTCL kwenye VPN.

VPN inaongeza usalama kwa kuweka encryption, lakini hiyo encryption inapunguza speed.

Hivyo, ukitaka kuifanyia haki connection ya TTCL, ipime kwenye game bila ya VPN. Inawezekana una tatizo la slow VPN.

Unaweza pia kuipima speed ya TTCL fiber na VPNs tofauti ili kuona speed inabadilikaje na VPNs tofauti.
Niliunga vpn kwa sababu EA SERVERS zipo Johannesburg..bila vpn ping ilikua 120ms, nilivyotumia vpn ping ikawa 55ms..vpn inapungiza speed lakini speed inatosha kwenye gaming,,,in gaming latency ni muhimu kuliko speed.
Pia vpn haikuaffect speed ya internet inayofaa kw gaming....
 
Habari Wana jamii,,nimeamua kuanzisha hii thread Ili kuelezea experience yangu na TTCL Fiber Ili iwe faida Kwa wengine wanaotaka kufahamu ..

Nitaelezea ufanisi wake kulingana na matumizi ya mtu husika..Miezi SITA iliyopita niliunga kifurushi Cha 55k ambacho ni 20MBPS. Hakuna installation fee zaidi ya kulipia tu kifurushi chako...Makundi ni yafuatayo.

1. OFFICE USE hapa out of 10 naipa rating ya 9.5 Kwa sababu iko reliable Complete outage ni mara chache na speed ni nzuri around 19mbps.

2. STREAMING hapa out of 10 naipa rating ya 8.5 Kwa sababu most of the time it's possible kupata 1080p hd quality na 720p all the time without buffering ..

3. GAMING hapa out of 10 naipa rating ya 0.5 at first 2 weeks ping ilikua vizuri ukitumiA VPN Fifa 23 Ping ilikua 55ms lakini baada ya apo ikawa 150ms plus..

my take Kwa matumizi ya kiofisi na streaming inafaa ila kama unataka kupata better experience in gaming achana nayo labda ujaribu kucheki package zao za juu.


Asante kwa feedback maana naifuatiliya
 
Back
Top Bottom