Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,954
- 93,931
Asante sana Daddy, nawapenda pia... Nitazidi kusali zaidi na zaidi..... Mungu akubariki!!!
Amen to that douta..
Asante sana Daddy, nawapenda pia... Nitazidi kusali zaidi na zaidi..... Mungu akubariki!!!
Douta mimi sina mengi zaidi ya kukupa hongera, lakini ongeza sana maombi (najua wajua kwa nini mesema hivyo).
Daddy n mumy measkron love you!!!
Heheheeeiiyaaa!!! Yaan mie nakufahamu kabisa longtime, hata hapo ofisini kwako Liberty napafahamu!!! Pesa bandia v/s cheni bandia....
Shosti umeshtua nini?upo off key ujue
Muheshimiwa watu8 .
Shkamoo !
Soon naja Dar , chagua zawadi mapema .
Nikuletee chele (rice) la Tinde Shinyanga ?
Ama Kuku wa Iguguno ?
Au futa la Alizeti toka Shelui ?
Ama Kitunguu cha Misigiri ?
Zabibu za Chikuyu?
Au Nyama ya Narco- Kongwa?
ukija nishutue nije kumchukulia hivyo vitu daddy wangu maana najua ni mshamba sana huwaga anaogopa magari akiona mengi kwani ameshazoea kukaa home sana na hata ATM huwaga ananituma mm
yaani huyu dady yenu kanilia kabnyau !
Poa tu , zawadi utampokelea!
Ila tatizo langu mie dar ni malazi , hapo kwako siwezipata hifadhi hata room ya uwani .
Salama kabisa mkuu hakuna mbaya tunapambana na kuumalizia mwaka salamaSalamu zimefika kaka mkubwa...natumai unaendelea vyema pia pande za huko ulipo
Salama kabisa mkuu hakuna mbaya tunapambana na kuumalizia mwaka salama
my dia kumbe upo binamu wa ukweli nimekumisije yaani wewe acha tu
natamani uwepo wako akaribu
binamu ladyfurahia nipo bana sema hii mihangaiko ya maisha ni balaa inatufanya hata kutulia tusiweze aise
hope upo salama na pole sana kwa matatizo sikuweza kukupa pole kwenye thread maana nilikuwa sehem net inasumbua mbaya
Asante binamu usijali ndo maisha yote hayo nimekwisha poa niko nawajibika pia
hawajambo mashangazi zangu hapo (watoto wako)