5G vs Starlink

5G vs Starlink

Sina utaalam wa masuala ya teknolojia ingawa napenda kufuatilia kwa kuwa teknolojia inakuwa siku hadi siku.
Kuuita utafiti wa mtaalam kuwa finding zake ni uchwara ni kuukosea utaalam wa aliyefanya huo utafiti. Tujifunze tu kutambua findings za wengine hata kama findings zako unaziona ndio sahihi kuliko za mwenzako.
Hata hivyo subject matter ilikuwa uwepo wa 5G. Watumiaji wa WhatsApp hata 2G unatumia bila shida. Kabla ya kutaka kuboshana unatakiwa kuelewa data na subject matter kabla kuhukumu uchwara wa data zinazotokana na findings za utafiti.
Leta takwimu zake specifically for Tanzania
 
Kwakua hiyo mitandao tunafaidika na nini? Bando zao ghali huduma mbovu, stalink aje haraka.
Yaani miaka yote waliopo hauoni faida zake? Acha hizo hapa penyewe tunawasiliana kwa msaada wa hao watoa huduma. Hivi watu mtaiweza starlink? Na starlink inatumiwa sana na watu wa vijijini, je wataweza gharama? Au Hela za kununua starlink awekeze kwenye shamba?
 
Yaani miaka yote waliopo hauoni faida zake? Acha hizo hapa penyewe tunawasiliana kwa msaada wa hao watoa huduma. Hivi watu mtaiweza starlink? Na starlink inatumiwa sana na watu wa vijijini, je wataweza gharama? Au Hela za kununua starlink awekeze kwenye shamba?
Kama wao mitandao ya simu wamekuja basi na starlink aje haraka, suala la kumudu gharama hata hiyo mitandao ya simu wapo watanzania hawamudu gharama zao, mitandao ya simu ni wafanya biashara wanao lipa kodi, na starlink nao watalipa kodi itakua faida kwa taifa.
 
Yeah
Kama wao mitandao ya simu wamekuja basi na starlink aje haraka, suala la kumudu gharama hata hiyo mitandao ya simu wapo watanzania hawamudu gharama zao, mitandao ya simu ni wafanya biashara wanao lipa kodi, na starlink nao watalipa kodi itakua faida kwa taifa.
Yeah. Me sijapinga uwepo wao hao Starlink. Ila by the way 5G ni Bora kuliko starlink hiyo ni fact.
 
Yeah

Yeah. Me sijapinga uwepo wao hao Starlink. Ila by the way 5G ni Bora kuliko starlink hiyo ni fact.
Shida ya hiyo 5G inapatikana mijini tu, sasa bora starlink ambayo itapatikana popote kwa mwenye uwezo.
 
Conclusion. Tusiharakie Starlink,
Da, upo nyuma sana. Wakati wenzetu huko juu wanatembea, sisi huku tunatakiwa kukimbia kwa kasi sana ili anagalau tuwakaribie. Kama kuna technolojia inayokwenda kuifanya jamii yetu kwenda kasi kimaendeleo na mawasiliano hiyo tuikumbatie kwa nguvu zote. Satellite link ipo kila pahali duniani, hivyo na internet itapatikana kote nchini bila kujali kutokuwepo kwa minara ya simu mahali husika
 
Da, upo nyuma sana. Wakati wenzetu huko juu wanatembea, sisi huku tunatakiwa kukimbia kwa kasi sana ili anagalau tuwakaribie. Kama kuna technolojia inayokwenda kuifanya jamii yetu kwenda kasi kimaendeleo na mawasiliano hiyo tuikumbatie kwa nguvu zote. Satellite link ipo kila pahali duniani, hivyo na internet itapatikana kote nchini bila kujali kutokuwepo kwa minara ya simu mahali husika
Kila kitu kina faida na hasara. Hata hiyo starlink kwenye Hali mbaya ya hewa haitoboi(rejea: Rain fade). Starlink haitoboi mbele ya 5g mzee!
 
Nimependa mana hadi vijijini unaweza ku access internet tena kwa spidi kali sana.
Wapigaji na mafisadi hawana chao.
Hao watu wa vijijini wataiweza? Yaani mtu atoe Hela za kununua starlink huku shambani Hana pembejeo? Ataweza?
 
💥OFFER-OFFER-OFFER BAABKUBWA💥
💥 Jipatie Web Hosting Ya Mwaka Mmoja Kwa Tsh 55,000 Tu! 💥
1️⃣ 25 NVMe SSD Storage
2️⃣ Free Website Migration/Transfer
3️⃣ Maximum Speed (Up to 3x)
4️⃣ Kama Unaitaji (Landing Page) au PHP Script yoyote, tuta-install Bure

⚡️ Usikose ofa hii ya kipekee!.
📞Tupigie: 0780 707 771

NetFasta
💨 Tumezingatia Speed Na Security:
✔️ NVMe SSD Storage
✔️ LiteSpeed Server
✔️ Unlimited Bandwidth
✔️ Imunify360 (Malware Detection and Removal)
✔️ Free SSL Certificates .
 
Kwakua hiyo mitandao tunafaidika na nini? Bando zao ghali huduma mbovu, stalink aje haraka.
sasa starlink akija mtaweza kumudu? bei zake sio kitoto. watakao faidi ni wabunge na tabaka fulani la wananchi, ila sio sisi kajamba nani.
 
Da, upo nyuma sana. Wakati wenzetu huko juu wanatembea, sisi huku tunatakiwa kukimbia kwa kasi sana ili anagalau tuwakaribie. Kama kuna technolojia inayokwenda kuifanya jamii yetu kwenda kasi kimaendeleo na mawasiliano hiyo tuikumbatie kwa nguvu zote. Satellite link ipo kila pahali duniani, hivyo na internet itapatikana kote nchini bila kujali kutokuwepo kwa minara ya simu mahali husika
starlink sio mobile, ndio inafika kote lakini mpka uwe karibu na antenna maalumu, ile ni kama wi-fi. unatakiwa uwe karibu na kifaa husika. sio nyumbulifu kama traditional network operators. bei zake pia zipo juu kununua na kuinstall. sio kama kusajili laini tsh 1000 tu upo hewani
 
Tanzania hakuna 5G kuna jina tu la 5G kwenye mitandao ya simu wakidai ni 5G of which haina criteria za kuitwa 5G, wanatumia jina la 5G kufanya biashara tu, of which sio 5G

e.g 5G ya hapa Tz nyingi speeds zake maximum ni 250MBs upload & download, hapo ndio speed iko juu na haiko stable..!! So 5G unayosemea ujue kabisa hakuna hapa
tz kuna 5g, hizo zingine ni stori za kijiweni.

kinachokwamisha 5g ionekane ipo slow pia ni congestion ya watu. maana mijini watu wapo wengi kulinganisha na idadi ya minara per population , ambapo automatically wanagombea minara kupata huduma. hii inasababisha mnara kuOverload. 5g ya hapa tz ndo iliyopo marekani, china n.k. maana vipimo ndo vilevile vya kimataifa.
 
Kwanza starlink imelenga zaidi remote areas ambapo kwa africa kwa kweli haijalishi uko mjini bado internet ni kitendawili.
Mimi nimefunga fiber ya tigo 3 months ago, this week imekuwa ni shida tupu speed imedrop to the extend kwamba toka jana jioni nahangaika kudowload file ya mb 77 tu na mpaka sasa haijamaliza...
Tusiende mbali mkuu, wewe ni lini umepata full utilization ya 4g tu kutoka kwa mtandao wowote. Mind you 4g inaweza kukupatia download speed hadi 150 mbs.
kinachosababisha mtandao kuwa slow, ni congestion, na kama unavyojua watu wengi tumejazana hapa Dar, hii inafanya watu wengi tugombanie mawimbi ya minara.
 
Back
Top Bottom