529 wahukumiwa kifo Misri!

529 wahukumiwa kifo Misri!

Kama una ndugu yako Msri, mwambie arudi nyumbani, hiyo sio dalili nzuri.
 
Wana Jamvi,

Habari nilizozinyaka sasa hivi zinasema kwamba watu karibu 529 wamehukumiwa kifo huko Misri kwa kushiriki kwao kumuua Ofisa wa Polisi na kuharibu mali. Hii ni hukumu ya aina yake kuwahukumu watu wengi hivyo kifo kwa wakati mmoja. Inasemekana wanayo nafasi ya kukataa rufaa na hukumu hii inabidi pia ithibitishwe na Mahakama ya kadhi.

Nafikiri Misri inaelekea kubaya zaidi.

Source: BBC

Tiba
 
Hio hukumu imefanywa hivo
Kwa ajili ya kukizamisha zaidi
Chama cha Muslim brotherhood! Watu 529 ni wengi
Sana
 
Hio hukumu imefanywa hivo
Kwa ajili ya kukizamisha zaidi
Chama cha Muslim brotherhood! Watu 529 ni wengi
Sana

Lakini endapo hukumu hiyo itatekelezwa, watu 529 ni wengi sana kusema ukweli ukilinganisha na kosa lililosababisha wahukumiwe hivyo.

Tiba
 
Wana Jamvi,

Habari nilizozinyaka sasa hivi zinasema kwamba watu karibu 529 wamehukumiwa kifo huko Misri kwa kushiriki kwao kumuua Ofisa wa Polisi na kuharibu mali. Hii ni hukumu ya aina yake kuwahukumu watu wengi hivyo kifo kwa wakati mmoja. Inasemekana wanayo nafasi ya kukataa rufaa na hukumu hii inabidi pia ithibitishwe na Mahakama ya kadhi.

Nafikiri Misri inaelekea kubaya zaidi.

Source: BBC

Tiba

Sharia sharia sharia, mahakama ya kadhi ndiyo wanataka walete na hapa. Hapo hakuna haki iliyotendeka.
 
Lakini endapo hukumu hiyo itatekelezwa, watu 529 ni wengi sana kusema ukweli ukilinganisha na kosa lililosababisha wahukumiwe hivyo.

Tiba

Wala hakuna kosa, katika nchi yenye ghasia kama ile . huwezi kujua bila mashaka yoyote nani alitenda kosa katika fujo zilizokuwa zinatokea huko
 
Wala hakuna kosa, katika nchi yenye ghasia kama ile . huwezi kujua bila mashaka yoyote nani alitenda kosa katika fujo zilizokuwa zinatokea huko

Nina imani hukumu hiyo inalenga kuwatisha wafuasi wengine wa Muslim Brotherhood wasishiriki kwenye vurugu lakini hukumu hiyo haitatekelezwa. Watu 529 sio mchezo bwana, hiyo idadi ni kubwa sana.

Tiba
 
Tangu Muslim brotherhood ianzishwe na akina Sheikh Hassan Banna mwaka 1928... na hata baadaye walipokuja kushika akina Sheikh Khutub baada ya kifo cha Banna ambaye inasemekana aliuawa na serikali ya Misri wakati huo, kimekuwa na mifarano mikali na serikali.
Lengo la kuanzishwa kwa kikundi hiki lilikuwa ni ku-renew imani ya kiislam ambayo ilikuwa inaonekana kudhoofu na western culture kuchanua katika ulimwengu wa nchi za kiislam. Kwa muktadha huu utawala ambao ulionekana sana kuwa 'bila din' yaani serikali isiyo na dini, wao waliupinga wakitaka wanachokiita 'din wa dawla' yaani dola inayoongozwa kwa misingi ya Quran na Sharia.
Kikundi hiki ndiyo mama wa vikundi vingine kama Hizbollah cha Lebanon na Hamas cha Palestina. Kwa misimamo hii mikali ya kundi hili katika historia yake limekuwa mwiba kwa karibuni tawala zote za Misri, likichangia mauaji ya viongozi, kama akina Nasri na wengine wengi; nao pia wakiuwawa kwa wingi.
Hivyo yanayotokea Misri ni kujirudiarudia kwa historia tangu kuanzishwa kwa kikundi hiki cha Muslim Brotherhood, Udugu wa Kiislam.
 
ndo democracy inayopigiwa debe na umoja wa mataifa hyo kwa vle ni muslim hata wasingekuwa brother hood kuuliwa cshangai hasa akiwa aliyeshka mpini ni robot ya marekani
wamisr walilia sana wakiomba umoja wa mataifa walifanya sana maandamano kumuondoa dhalim husni mubarak ila baada ya kupata uhururu wakaona ni her wamuweke morsi mors chaguo lao anabadilisha katiba inapigiwa kelele akaona kama kweli katiba haifai basi na tupige kura ya weng wape katiba imepita alafu bado unasema murs dhalim kisa muslim, we know this, nawachukia makafiri na pia nayachukia mataifa ya kikafir na pia nawachukia wanawaona hawa makafiri watu wa mana its so pain kumkuta muislam anauawa kisa anakataa ushoga anakataa udhalilishaj kwa wanawake (kuvaa vichup) anakataa dhulma ya ubepari anakataa anapigania maadili na heshma ya mtu anapigania kuondoshwa kwa matabaka katika jamii watu wawe pamoja wafanye mambo kwa ushrikiano ni chuki 2 hakuna kingne
 
An Egyptian court has sentenced at least 528 members of the outlawed Muslim Brotherhood to death on Monday, March 24 2014.

Most were arrested during clashes which erupted in the southern province of Minya after the forced dispersal of two Muslim Brotherhood protest camps in Cairo on August 14. These members were convicted of charges including violence, inciting murder, storming a police station, attacking persons and damaging public and private property.

This group of 528 is among over 1,200 supporters of Islamist ex-president, Mohammed Morsi on trial, including senior members of the Muslim Brotherhood.

Those convicted are expected to appeal. The verdict will be passed on to the Grand Mufti (a senior Islamic scholar), Egypt’s supreme religious authority, for approval or rejection. The final trial session will be conducted on 28 April.

Ever since Mr Morsi was ousted by the military last July, Egyptian authorities have cracked down fiercely on Islamists. Multitudes have been arrested and killed.

The Brotherhood has been declared a terrorist organization and authorities have punished any public show of support for it.

A second group of 700 Morsi supporters is due to go on trial on Tuesday.
 
140319175934_egypt_army_304x171_bbc_nocredit.jpg

Watuhumiwa walihukumiwa kwa makosa kadhaa ikiwemo mauaji ya polisi



Mahakama nchini Misri imewahukumu kifo watu 529 ambao wanasemekana kuwa wafuasi wa Rais aliyeng'olewa mamlakani Mohammed Morsi.

Watu hao walikabiliwa ma mashitaka mbali mbali yakiwemo mauaji ya polisi pamoja uvamizi dhidi ya polisi.

Wafuasi hao wa chama kilichopigwa marufuku, cha Muslim Brotherhood, ni sehemu ya kundi lengine kubwa la

watu zaidi ya 1,200 wanaoaminika kuwa wafuasi wa Morsi.

Maafisa wa utawala nchini Misri wamekuwa wakiendesha msako mkubwa dhidi ya wafuasi wa vuguvugu hilo,

tangu Morsi kuondolewa mamlakani mwezi Julai mwaka jana.

Maelfu wamekamatwa huku mamia wakiuawa.

Mahakama hiyo ilitoa hukumu baada ya vikao viwili pekee ambapo mawakili wa watuhumiwa walilalamika kuwa hawakupewa muda wa kuwasilisha kesi yao vyema.


Mauaji wanayodaiwa kufanywa na watuhumiwa yalitokea Kusini mwa Misri, mwezi Agosti, baada ya vikosi vya usalama kuvunja kambi mbili za wafuasi wa Morsi waliokuwa wanataka arejeshwe mamlakani.


 
Ni hukumu ya aina yake, sina hakika kama ikitekelezwa utulivu utarejea nchini Misri.
 
Tuwaombee Misri hali ya amani hisitoweke wasiingie kwenye machafuko tena
 
Back
Top Bottom