529 wahukumiwa kifo Misri!

529 wahukumiwa kifo Misri!

Wanyongwe tena leo na wafie mbali. Huwezi zingua dunia na ubaki kubembelezwa.
 
Tangu Muslim brotherhood ianzishwe na akina Sheikh Hassan Banna mwaka 1928... na hata baadaye walipokuja kushika akina Sheikh Khutub baada ya kifo cha Banna ambaye inasemekana aliuawa na serikali ya Misri wakati huo, kimekuwa na mifarano mikali na serikali.
Lengo la kuanzishwa kwa kikundi hiki lilikuwa ni ku-renew imani ya kiislam ambayo ilikuwa inaonekana kudhoofu na western culture kuchanua katika ulimwengu wa nchi za kiislam. Kwa muktadha huu utawala ambao ulionekana sana kuwa 'bila din' yaani serikali isiyo na dini, wao waliupinga wakitaka wanachokiita 'din wa dawla' yaani kwao dini na dola ni vitu visivyotenganishwa. Kwahiyo wanachosisitiza ni dola inayoongozwa kwa misingi ya Quran na Sharia.
Kikundi hiki ndiyo mama wa vikundi vingine kama Hizbollah cha Lebanon na Hamas cha Palestina. Kwa misimamo hii mikali ya kundi hili katika historia yake limekuwa mwiba kwa karibuni tawala zote za Misri, likichangia mauaji ya viongozi, kama akina Nasri na wengine wengi; nao pia wakiuwawa kwa wingi.
Hivyo yanayotokea Misri ni kujirudiarudia kwa historia tangu kuanzishwa kwa kikundi hiki cha Muslim Brotherhood, Udugu wa Kiislam.
 
Tangu Muslim brotherhood ianzishwe na akina Sheikh Hassan Banna mwaka 1928... na hata baadaye walipokuja kushika akina Sheikh Khutub baada ya kifo cha Banna ambaye inasemekana aliuawa na serikali ya Misri wakati huo, kimekuwa na mifarano mikali na serikali.
Lengo la kuanzishwa kwa kikundi hiki lilikuwa ni ku-renew imani ya kiislam ambayo ilikuwa inaonekana kudhoofu na western culture kuchanua katika ulimwengu wa nchi za kiislam. Kwa muktadha huu utawala ambao ulionekana sana kuwa 'bila din' yaani serikali isiyo na dini, wao waliupinga wakitaka wanachokiita 'din wa dawla' yaani kwao dini na dola ni vitu visivyotenganishwa. Kwahiyo wanachosisitiza ni dola inayoongozwa kwa misingi ya Quran na Sharia.
Kikundi hiki ndiyo mama wa vikundi vingine kama Hizbollah cha Lebanon na Hamas cha Palestina. Kwa misimamo hii mikali ya kundi hili katika historia yake limekuwa mwiba kwa karibuni tawala zote za Misri, likichangia mauaji ya viongozi, kama akina Nasri na wengine wengi; nao pia wakiuwawa kwa wingi.
Hivyo yanayotokea Misri ni kujirudiarudia kwa historia tangu kuanzishwa kwa kikundi hiki cha Muslim Brotherhood, Udugu wa Kiislam.
 
Udugu wa kiislam: Historia fupi
Tangu Muslim brotherhood ianzishwe na akina Sheikh Hassan Banna mwaka 1928... na hata baadaye walipokuja kushika akina Sheikh Khutub baada ya kifo cha Banna ambaye inasemekana aliuawa na serikali ya Misri wakati huo, kimekuwa na mifarano mikali na serikali.
Lengo la kuanzishwa kwa kikundi hiki lilikuwa ni ku-renew imani ya kiislam ambayo ilikuwa inaonekana kudhoofu na western culture kuchanua katika ulimwengu wa nchi za kiislam. Kwa muktadha huu utawala ambao ulionekana sana kuwa 'bila din' yaani serikali isiyo na dini, wao waliupinga wakitaka wanachokiita 'din wa dawla' yaani kwao dini na dola ni vitu visivyotenganishwa. Kwahiyo wanachosisitiza ni dola inayoongozwa kwa misingi ya Quran na Sharia.
Kikundi hiki ndiyo mama wa vikundi vingine kama Hizbollah cha Lebanon na Hamas cha Palestina. Kwa misimamo hii mikali ya kundi hili katika historia yake limekuwa mwiba kwa karibuni tawala zote za Misri, likichangia mauaji ya viongozi, kama akina Nasri na wengine wengi; nao pia wakiuwawa kwa wingi.
Hivyo yanayotokea Misri ni kujirudiarudia kwa historia tangu kuanzishwa kwa kikundi hiki cha Muslim Brotherhood, Udugu wa Kiislam.
 
Mbona Hosni Mubarak hawajamnyonga mpaka Leo? Na ameua raia wengi sana!
 
uonevu huu wa dhahiri kabisa. ili kuwarudisha cnyuma wafuasi na chama ha muslim brotherhood ila najua kwa jinis chama hiki kilivyotapakaa middle east ni ngumu sana kufutika hata wakitumia ubabe.
 
where is human right now. I believe they are innocent. what is court criteria to charge them? very sad to know about this. it looks overall justice system is on payrole of Israel to crush Akhwan. this could be a reaction of Mursi policies against Israel
 
I am damn sure, no human right and NGO will raise voice on this cruelty. it is not first time these people are charged but i am surprised they are still standing
 
Back
Top Bottom