Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 2,586
- 4,274
Mimi nashauri badala ya kuongeza vibao ya 50kms/ kwenye barabara kuu
Tuanze kufikia suluhisho ambalo ni kuweka vivuko vya juu au chini vya waenda kwa miguu
Mfano: Barabara ya Arusha kwenda Dar; kutokea Arusha hadi Same miji inaunganika kwa kasi sana, sasa bila kuanza kufikiria suluhisho itafika wakati mtu anaendesha km 50 kwa zaidi umbali ya km 300 na itakuwa ni kudumaza uchumi kwa kupunguza uzalishaji
Tuanze kufikia suluhisho ambalo ni kuweka vivuko vya juu au chini vya waenda kwa miguu
Mfano: Barabara ya Arusha kwenda Dar; kutokea Arusha hadi Same miji inaunganika kwa kasi sana, sasa bila kuanza kufikiria suluhisho itafika wakati mtu anaendesha km 50 kwa zaidi umbali ya km 300 na itakuwa ni kudumaza uchumi kwa kupunguza uzalishaji