afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
Usiniachie best.
Njoo utoe darasa tafadhali.
OTIS
hahahaahah lol
Mi skuachi dear ..
Ila leo umenichemsha Bongo kwa kweli loohh
Usiniachie best.
Njoo utoe darasa tafadhali.
OTIS
Very correct OTIS...za huku mtaani zingewekwa kwenye google nadhani NGOS zingekuwa kila nyumba!!, Afro upo hapo???
Mkuu uliishawahi kupiga mswaki kwa kutumia magadiDah!! Nimesahau kupiga mswaki leo nilipoamka yaani hii thread ndio imenikumbusha ngoja nikanunue Chumvi dukani nikapigie mswaki huku kwetu dawa za meno bei ghali wanauza 7000 moja.[/QUOTE]
Mkuu unaishi kanda ya ziwa nini?
hahahaahah lol
Mi skuachi dear ..
Ila leo umenichemsha Bongo kwa kweli loohh
Mkuu uliishawahi kupiga mswaki kwa kutumia magadi
The finest Hujambo?
Mkuu nina sababu zangu kwanini sijakutaja....najua ulikesha kule kaunta, nikaambiwa umezima kama umeme wa tanesco, nikasema ngoja nikusubirie uamke kwanza!!lolSikuambiwa nichangie lakin naomba kuuliza:i hiyo midomo ya watanzania milioni 20, ni nani aliyeinusa? Yeye wa kwake ulikuwa haunuki? Baada ya kuuliza hilo, narudi zangu jukwaa la wakubwa.
Dah!! Naumwa nimechomwa na mwiba...usicheke lakiniThe finest Hujambo?
Im glad i did.
Tanesco wamerudia tena soon twaanza via mobile.
I bet shida hizi huzijui ndio maana hujui HQ za mitaani kwetu
OTIS
Dah!! Naumwa nimechomwa na mwiba...usicheke lakini
hahahahahahahah looohh
Ndo umenifanya nicheke lohhh
Nikupeleke chumbani kwa uchunguzi zaidi??
Sio midomo tu, ata uvinza. Kuna mijitu ikikupita hasa ndani ya daladala inatangaza uvundo. Kama uhamini we panda daladala mvua imenyesha alafu pembeni ukae na jimama lililopiga mchina huku limenyeshewa........
Twende chumbani kwa uchunguzi zaidi ila tahadhari leo sijapiga mswaki kwa hiyo ukisikia harufu tofauti wakati naongea usishangae sana:eyebrows:hahahahahahahah looohh
Ndo umenifanya nicheke lohhh
Nikupeleke chumbani kwa uchunguzi zaidi??
Yale mabrashi makubwa magumu kama yale wanayotumia kusafishia chooni yanafaa sanaKuna brush zinaandaliwa kule uvinza za kusafisha uvinza!!note this
Twende chumbani kwa uchunguzi zaidi ila tahadhari leo sijapiga mswaki kwa hiyo ukisikia harufu tofauti wakati naongea usishangae sana:eyebrows:
Tafuna hivyo vitunguu saumu hapo juu ya meza..
wataua bacteria vingine ntavumilia tu hahahahahha lol
kuna virus za shigongo zimeliingilia!!noana mwanachi nalo karibia linakuwa la udaku
Dah!! Unanimaliza kabisa hahahaha.....halafu hili la mtu kutafuna vitunguu saumu huwa silielewi kabisa kuna jamaa nilishawahi kumkuta anamenya vitunguu saumu anakula mambo mengine bana hata sijui..lolTafuna hivyo vitunguu saumu hapo juu ya meza..
wataua bacteria vingine ntavumilia tu hahahahahha lol