50% ya Watanzania wananuka midomo!!

Pia utafiti huo umezidi kubainisha kwamba kuenea kwa unukaji wa midomo kunasababishwa na tabia ya denda wanazopigana wa tz kila mara ikiwa ni njia ya kuhamasishana kufanya dhambi kinyume na kifungu cha 6 cha kanuni kuu za Mungu.
 
Sikuambiwa nichangie lakin naomba kuuliza:i hiyo midomo ya watanzania milioni 20, ni nani aliyeinusa? Yeye wa kwake ulikuwa haunuki? Baada ya kuuliza hilo, narudi zangu jukwaa la wakubwa.
Mkuu nina sababu zangu kwanini sijakutaja....najua ulikesha kule kaunta, nikaambiwa umezima kama umeme wa tanesco, nikasema ngoja nikusubirie uamke kwanza!!lol
 
Im glad i did.
Tanesco wamerudia tena soon twaanza via mobile.
I bet shida hizi huzijui ndio maana hujui HQ za mitaani kwetu
OTIS

Jamani Jamani
mtanzania ambae hajui hizo shida ni mtanzania fake...
:smash:
 
Sio midomo tu, ata uvinza. Kuna mijitu ikikupita hasa ndani ya daladala inatangaza uvundo. Kama uhamini we panda daladala mvua imenyesha alafu pembeni ukae na jimama lililopiga mchina huku limenyeshewa........

Kuna brush zinaandaliwa kule uvinza za kusafisha uvinza!!note this
 
Sizinga hebu wasiliana na hao Mwananchi wafanye pia utafiti wa asilimia ngapi ya watanzania hawaogi....:lol:
 
Back
Top Bottom