50/50 Ni Majanga kwa Wanaume

50/50 Ni Majanga kwa Wanaume

Acha dharau, Mimi mke wangu namuona anawasha laptop hadi Jumapili anapiga kazi na siku nyingine akitoka kazini baada ya kumaliza kuandaa chakula usiku anawasha laptop kuandika taarifa au kumalizia ripoti inatakiwa asubuhi kazini kwao. Kwa hiyo siamini kama ni mtegemezi ofisini kwao. Pia nawajua baadhi ya wanaume wanaenda kazini wanakaa dk chache wanachomoka kwenda BAR ya jirani kupiga masanga. Vipi kuhusu wale akina Dada wa benki hasa Tellers, kuanzia saa tatu asubuhi hadi jioni wanapiga kazi tu, sijawahi kuona mwanaume pembeni akiwafanyia kazi kama unavyotaka tuamini. Wewe lazima utakuwa Mkurya unaamini wanaume tu ndio wanaweza kufanya kazi wanawake hamna kitu, hutaki kuachana na imani potofu. Vipi kuhusu Halima Mdee, juzi napiga kazi ya maana Sana pale Furahisha Mwanza

Acha u**ma wewe wakurya unawajua au unaropoka tu p***vu
 
Acha dharau, Mimi mke wangu namuona anawasha laptop hadi Jumapili anapiga kazi na siku nyingine akitoka kazini baada ya kumaliza kuandaa chakula usiku anawasha laptop kuandika taarifa au kumalizia ripoti inatakiwa asubuhi kazini kwao. Kwa hiyo siamini kama ni mtegemezi ofisini kwao. Pia nawajua baadhi ya wanaume wanaenda kazini wanakaa dk chache wanachomoka kwenda BAR ya jirani kupiga masanga. Vipi kuhusu wale akina Dada wa benki hasa Tellers, kuanzia saa tatu asubuhi hadi jioni wanapiga kazi tu, sijawahi kuona mwanaume pembeni akiwafanyia kazi kama unavyotaka tuamini. Wewe lazima utakuwa Mkurya unaamini wanaume tu ndio wanaweza kufanya kazi wanawake hamna kitu, hutaki kuachana na imani potofu. Vipi kuhusu Halima Mdee, juzi napiga kazi ya maana Sana pale Furahisha Mwanza

Hapo tu kwenye Kabila ndiyo umekosea nani kakudanganya kwamba wao ndio wanaamini hivyo?
 
Kitu kingine unapotoka nao out hatakama mnafanya kazi ya aina moja na mnalipwa mafao sawa, bado atakulalia ulipe gharama wewe! Nakama ni field, basi yuko radhi alale na wewe gesti ilimradi ameki fedha za saloon. Kwani jamani hayaja watokea hayo?.
 
Ndo 50/50

hatari

attachment.php
 
acheni dharau,wawezesheni wanawake wanaweza.Uko vyuoni SI kujipendekeza Tu nahuwa wanaume mnakuwa kimaslahi zaidi

Issue dada UPOPO sio dharau. Issue ni kujua tofauti kati Equity na Equality.
 
Sio wote jamani, ni hivyo hivyo 50/50. Na kwingine wakaka/wababa mnatengeneza mazingira ya kuwafadhili wadada/wamama ili kuwanasa.
 
acheni dharau,wawezesheni wanawake wanaweza.Uko vyuoni SI kujipendekeza Tu nahuwa wanaume mnakuwa kimaslahi zaidi

Hatuhitaji kuwezeshwa bali kipewa nafasi.Kama ni kwenye kampeni na anauwezo wa kuwa kiongozi apewe nafasi hahitaji kuwezeshwa
 
It is Equity our Mothers, Sisters, Wives and Daughters. Not Equality.
 
50/50 haita punguzi uwanaume wetu.
Tatizo wengi hapa mmelea mabinti bila kuwawezesha, au mmeoa wanawake ambao hawakuwezeshwa na wala hamja wawezesha.
Dunia ya sasa sio ile ya mababu zetu jamani. Mwezeshe mwanamke ili Jamii ipige hatua.

Kila mtu ana contribute kivyake, tusidharau bila kufikiria
Ukiamua kuoa binti, basi hilo likubali, si atakuzalia watoto na kuwalea?
Kama vipi, basi limbikiza mali kabla ujaoa. Au usioe kabisa...
 
acheni dharau,wawezesheni wanawake wanaweza.Uko vyuoni SI kujipendekeza Tu nahuwa wanaume mnakuwa kimaslahi zaidi

Mbona wanaume hawaitaji kuwezeshwa?, halafu 50/50 haina muwezeshaji kila mtu anakufa na 50 yake.
 
Sasa Mnaonaje na JWTZ iwe 50/50.
 
Kuna ujinga mwingi uliofanywa na Warioba na timu yake ambao hausemwi. Eti wajinga wanasema Warioba agombee urais!
 
Kuna ujinga mwingi uliofanywa na Warioba na timu yake ambao hausemwi. Eti wajinga wanasema Warioba agombee urais!

Siungi Mkono hoja. Yeye na Sita wote walikua na ajenda binafsi. Ingawa sita ajenda sio yake peke yake. Yeye ni kama ametumiwa na watu flani tu.
 
Wakubwa wenyewe washafanya yao, iyo 50/50 ina malengo tofauti na nyie mnavyofikiri hata hao wanawake wenyewe hawaelewi zaidi ya kufuata mkumbo tu.
Hili janga si Tanzania tu bali duniani kote,Jiulize Marekani wamepita marais wangapi na hakuna hata rais mmoja mwanamke!je huko marekani hakuna 50/50?
 
50/50 haita punguzi uwanaume wetu.
Tatizo wengi hapa mmelea mabinti bila kuwawezesha, au mmeoa wanawake ambao hawakuwezeshwa na wala hamja wawezesha.
Dunia ya sasa sio ile ya mababu zetu jamani. Mwezeshe mwanamke ili Jamii ipige hatua.

Kila mtu ana contribute kivyake, tusidharau bila kufikiria
Ukiamua kuoa binti, basi hilo likubali, si atakuzalia watoto na kuwalea?
Kama vipi, basi limbikiza mali kabla ujaoa. Au usioe kabisa...

Mkuu Vuta picha, Nchi imeingia vitani na Nusu ya Jeshi letu ni Wanawake. Lakini Nusu yao Ni wajawazito. Sijui hapo inakua imekaaje.
 
Mleta mada ametaja baadhi ya kazi ambazo wanawake wanakuwa tegemezi zaidi. Tena shukrani yao kubwa kwa anayemsaidia ni kumlisha "sambusa". Kazi nyingi za kutumia akili kidogo na nguvu kidogo-wanawake wanaweza. Lakini zile za kutumia akili nyingi au mitulinga-wanawake wanageuka wanakuwa parasite.
 
Acha dharau, Mimi mke wangu namuona anawasha laptop hadi Jumapili anapiga kazi na siku nyingine akitoka kazini baada ya kumaliza kuandaa chakula usiku anawasha laptop kuandika taarifa au kumalizia ripoti inatakiwa asubuhi kazini kwao. Kwa hiyo siamini kama ni mtegemezi ofisini kwao. Pia nawajua baadhi ya wanaume wanaenda kazini wanakaa dk chache wanachomoka kwenda BAR ya jirani kupiga masanga. Vipi kuhusu wale akina Dada wa benki hasa Tellers, kuanzia saa tatu asubuhi hadi jioni wanapiga kazi tu, sijawahi kuona mwanaume pembeni akiwafanyia kazi kama unavyotaka tuamini. Wewe lazima utakuwa Mkurya unaamini wanaume tu ndio wanaweza kufanya kazi wanawake hamna kitu, hutaki kuachana na imani potofu. Vipi kuhusu Halima Mdee, juzi napiga kazi ya maana Sana pale Furahisha Mwanza

Huyo mkeo mchunguze vizuri, huwezi jua akiwa huko kazini anafanyaga nini
 
Back
Top Bottom