MZIMU
JF-Expert Member
- Apr 29, 2011
- 4,058
- 1,377
Jamani hili suala la 50/50 ni Majanga kwa Wanaume. Huku Makazini hatakama kazi sio ya kutumia nguvu, lakini ukipangwa na Mwanamke basi utajuta. Kila kazi utafanya wewe. Anakuegemea kwa kila kitu. Yaani wao sio kama hawataki kujisumbua miili yao katika kutumia nguvu peke yake bali hata katika kutumia akili.
Watu wengi waliopangiwa kazi pamoja na Wanawake hua wanalazimika kufanya kazi hizo peke yao, sio kuanzia Vyuoni hadi katika research n.k.
Hawa Binadamu wenzetu, Mama Zetu, Dada zetu, Shangazi zetu, Wake zetu, Wenetu na Nyumba ndogo pia, kazi ambayo nadhani inawafaa tena zaidi ya 50/50 let say 75/25, ni kupiga Domo kamakule Mjengoni basi. Huku kwengine ni balaa.
Haya ni Maoni yangu tu kutokana na Sehemu Mbali mbali nilizopitia katika kulijenga Taifa hili Changa.
Hii comment ya ndugu Bilulu II, nimeipenda ndio maana nimeichukua na kuiweka hapa front page.
Mkuu UHURU JR hapa umesema ukweli kwa wenye akili peke yao.
Anko Sam, Huo nao ni ukweli Mwengine ambao watu wanajifanya hawaujui.
Watu wengi waliopangiwa kazi pamoja na Wanawake hua wanalazimika kufanya kazi hizo peke yao, sio kuanzia Vyuoni hadi katika research n.k.
Hawa Binadamu wenzetu, Mama Zetu, Dada zetu, Shangazi zetu, Wake zetu, Wenetu na Nyumba ndogo pia, kazi ambayo nadhani inawafaa tena zaidi ya 50/50 let say 75/25, ni kupiga Domo kamakule Mjengoni basi. Huku kwengine ni balaa.
Haya ni Maoni yangu tu kutokana na Sehemu Mbali mbali nilizopitia katika kulijenga Taifa hili Changa.
Unajua hiyo 50/50 ipo ilikuwafumba macho wanawake wengi ili wapige kura ya ndio kwa katiba ilopendekwa! Dats y wakiwa katika kampeni za kura ya ndio kwa katiba mpya hicho kipngele kinatumika sana! Lakini kwa kuwa muwazi n vgum kutekelezeka
Hii comment ya ndugu Bilulu II, nimeipenda ndio maana nimeichukua na kuiweka hapa front page.
Wakubwa wenyewe washafanya yao, iyo 50/50 ina malengo tofauti na nyie mnavyofikiri hata hao wanawake wenyewe hawaelewi zaidi ya kufuata mkumbo tu.
Hili janga si Tanzania tu bali duniani kote,Jiulize Marekani wamepita marais wangapi na hakuna hata rais mmoja mwanamke!je huko marekani hakuna 50/50?
Mkuu UHURU JR hapa umesema ukweli kwa wenye akili peke yao.
Mleta mada ametaja baadhi ya kazi ambazo wanawake wanakuwa tegemezi zaidi. Tena shukrani yao kubwa kwa anayemsaidia ni kumlisha "sambusa". Kazi nyingi za kutumia akili kidogo na nguvu kidogo-wanawake wanaweza. Lakini zile za kutumia akili nyingi au mitulinga-wanawake wanageuka wanakuwa parasite.
Anko Sam, Huo nao ni ukweli Mwengine ambao watu wanajifanya hawaujui.