5 Acres Plot for Sale at Iyumbu Estate Center, Dodoma

Kwa 5M tu napata ekari 4 kule nala 12 km tokea Dodoma mjini.
Hata Maili mbili au Msalato unaweza kupata. Unaweza kuweka morgage shamba la Nala? Ok ukianza utaratibu wa kupima hadi kupata hati, ekari moja ya huko Nala itakugharimu kiasi gani? Ukiweka kitega uchumi kama shopping malls au supermarket, wanakijiji wa Nala ndio watakuwa wanunuzi wako wakuu?
 
Mkuu sio nyingi sana kwa mwekezaji anayehitaji eneo kubwa mjini. Hivi nyumba moja ya gharama nafuu ya NHC inauzwa kiasi gani? Ukijua hilo ndipo useme kama 500m kwa ekari 5 ndani ya manispaa kama ni kubwa sana au ni wastani.

Vv
wewe una uza nyumba au una uza uwanja?
 
Hizo factors ndizo zinazo-dermine bei ya soko hapo Iyumbu, ,kuwa karibu na UDom ni factor nyingine, barabara ya kutoka Dar inachepukishwa kule.

Sasa utahamisha mtaa kule mmoja pale Majengo, Kizota au Chang'ombe, ukiwajengea English Medium school watawaleta watoto wao wasome hapo? Ukiweka shopping mall au Supernarkets Chang'ombe au Majengo hao wakazi wa maeneo hayo ndio wanunuzi wakuu wenye hadhi za kufanya shopping kwenye hizo supermarket na shopping malls utakazowawekea wakazi wa NHC Iyumbu?

Hata hivyo maongezi kwa aliye serious yapo. Unakaribishwa.
hiyo barabara ina chepuka kwenda wapi?

una ifahamu Mipango miyuji? kuna makazi ya kisasa kiasi gani? sasa jiulize mbona kuna shule nyingi kule... Sendeu English Medium, St. mark's primary ambayo iliongoza kwa mkoa wa dodoma kwa shule zote za english medium mtihani wa darasa la nne... kuna St. gaspar ya wakatoliki karibu na st. Gema hosp. pia kuna sec. schools kama Don bosco seminary, st. frans seminary, John merlin zote za wakatoliki... na zingine zina jengwa huko na kuna kaya nyingi za kutosha...

wewe bado una zungumzia mradi ambao hauja kamilika na haujui kama watu watakuja kuishi au la... pia huko unapo zungumzia kuna mashule mazuri zaidi... st. peter claver, nk...
 
Hata Maili mbili au Msalato unaweza kupata. Unaweza kuweka morgage shamba la Nala? Ok ukianza utaratibu wa kupima hadi kupata hati, ekari moja ya huko Nala itakugharimu kiasi gani? Ukiweka kitega uchumi kama shopping malls au supermarket, wanakijiji wa Nala ndio watakuwa wanunuzi wako wakuu?
Nala wanakuja kujenga uwanja mpya dodoma, hivyo ana fursa, huko nala kuna maeneo ya vyuo kama st. john, mipango, chuo cha uuguzi nk...

usimtishe mwenzio mkuu...

kama ataitaji kupima eneo lake anione nitamsaidia kupima...!
 
Kwa 5M tu napata ekari 4 kule nala 12 km tokea Dodoma mjini.
Hata Maili mbili au Msalato unaweza kupata. Unaweza kuweka morgage shamba la Nala? Ok ukianza utaratibu wa kupima hadi kupata hati, ekari moja ya huko Nala itakugharimu kiasi gani? Ukiweka kitega uchumi kama shopping malls au supermarket, wanakijiji wa Nala ndio watakuwa wanunuzi wako wakuu?
huko ndipo ule uwanja mpya utajengwa huko... upo karibu na fursa... wamerudisha huko baada ya kuona kuko bora zaidi
Una kiasi gani tuzungumze biashara ?
 
Hata Maili mbili au Msalato unaweza kupata. Unaweza kuweka morgage shamba la Nala? Ok ukianza utaratibu wa kupima hadi kupata hati, ekari moja ya huko Nala itakugharimu kiasi gani? Ukiweka kitega uchumi kama shopping malls au supermarket, wanakijiji wa Nala ndio watakuwa wanunuzi wako wakuu?

Una kiasi gani tuzungumze biashara ?
mkuu maeneo ninayo mjini hapa labda kama nikusaidie kununua... kama una pesa ya kufanya hivyo na kama una pesa nikupimie pia... maana ndio kazi hiyo niifanyayo...
 
mkuu maeneo ninayo mjini hapa labda kama nikusaidie kununua... kama una pesa ya kufanya hivyo na kama una pesa nikupimie pia... maana ndio kazi hiyo niifanyayo...
Nahitaji kupimiwa Chahwa!, na Ipala,


Pia nauza beach plot haijapimwa heka 6 bei 2,000,000/@
Katikatin Ipala na Hombolo!
BARABARA mpaka site!
Umeme hauko
Bichi ina ndege wazuri sana! Wanavutia ! Picha mbali
036cc8201391be3efcdbe576cb9b4361.jpg
f94977b7e6c8d6af08a2ab174aceb018.jpg
b1ee04ea85abe216157c62c7cedb402d.jpg
 
Kiwanja chenye ukubwa wa ekari 5.2 kinauzwa Dodoma mkabala na NHC Iyumbu Estate Centre ambapo rais alizindua mradi wa Iyumbu Estate Center na kununua nyumba 60. Mradi wa NHC ni nyumba 300. Eneo liko kilometer 2 kutoka UDom Administration block.

Kiwanja kina hati ya miaka 33 iliyotolewa na CDA na limetengwa kwa ajili ya shule ya sekondari ingawa sheria inaruhusu mabadiliko. Bei ni 500m na mazungumzo yapo.

Call or Sms 0787377511
Bora niendelee kuishi Bunda tu au niende morogoro vijijini ambako hizo million 500 naweza nunua kijiji kizima
 
Nahitaji kupimiwa Chahwa!, na Ipala,


Pia nauza beach plot haijapimwa heka 6 bei 2,000,000/@
Katikatin Ipala na Hombolo!
BARABARA mpaka site!
Umeme hauko
Bichi ina ndege wazuri sana! Wanavutia ! Picha mbali
036cc8201391be3efcdbe576cb9b4361.jpg
f94977b7e6c8d6af08a2ab174aceb018.jpg
b1ee04ea85abe216157c62c7cedb402d.jpg
mkuu J4 tuna weza onana pale manispaa...?
 
Hahaha huyu jamaa anafanya utani yani hicho kiwanja hata kingekuwa uhindini ,uzunguni mpaka b arabara ya nane kwa dodoma mil 500 parefu fanya mil 25 per acre
 
Haaah Labda Hekari 100 ndio ninunue kwa Hiyo Pesa

Mkuu Dodoma bado sana Dar yenyewe unaweza kosa hiyo Hela
 
Mkuu, thamani ya nyumba za Iyumbu haitokani na thamani ya kiwanja bali inatokana na ukweli kwamba nyumba zile NHC wamejenga kwa mkopo, kama tujuavyo mikopo ina riba inayotozwa kila mwaka, hivyo hiyo riba ime inflate bei ya nyumba zile.

Pili, NHC ndio waliopeleka maji pale na umeme na wamevuta toka mbali, hivyo gharama hii imeongezwa kwenye gharama ya nyumba.

Tatu, NHC wanatengeneza barabara wenyewe ambazo zinachongwa kwa motorgrader, yote hiyo imeongezwa kwenye gharama za nyumba.

nne, ni kuwa nyumba za NHC ile bei imekuwa inflated sana kwasababu hazina thamani ya ile bei tuliotajiwa, nyumba ya 76M mtu unaweza kujenga kwa 30-40M. Infact kwa mtu mchumi na anaeweza kusimamia ujenzi wa nyumba yake hawezi nunua nyumba za NHC kwa bei ile. Naamini, bei ya nyumba za NHC iyumbu kwa asilimia zaidi ya themanini haitokani na thamani ya ardhi pale bali ni factors nyingine.

Je, wewe viwanja vyako umeshakita nguzo za umeme? umeshaweka maji? Umeshachonga barabara ya kutoka na kuongia ambayo ina water drainage system?
Jifunze biashara vizuri mkuu, pia jifunze kufanya valuation. Eka moja Dodoma maeneo mengi ambayo bado haijapimwa ni 3M, Maeneo ambayo imepimwa ni 12-20M. Pole mkuu. Limbukeni ndio anaweza nunua hilo plot lako kwa 500M. Tambua tu kuwa thamani ya ardhi ya Dodoma mjini iliyopimwa ni 1SQM haizidi 6,500. This is a fact.
NO COMMENT Mkuu..
Umechambua vizuri...
 
Huyu jamaa anaota ndoto. Nimekaa dodoma sana ila hyo bei ni ya kufikirika na story za kijiweni. Kuna umuhimu wa kuwepo bei elekezi ya ardhi sasa, co mtu anaamka na bei yake tuu
 
Back
Top Bottom