5 3=4

5 3=4

Msichoke wakuu,(b)Dogo alipofika home,aliitwa na wateja watatu dukani.Hawa wateja wanataka kununua lita 8 za mafuta kila mmoja.Dukani kuna ndoo ya mafuta ya lita 24 imejaa full,ndoo moja tupu ya lita 13,ndoo moja tupu ya lita 11 na ndoo moja tupu ya lita 5.Dogo anataka tena msaada wa jinsi ya kugawanya hayo mafuta lita 8 kwa kila mmoja wa hao wateja watatu.
 
Msichoke wakuu,(b)Dogo alipofika home,aliitwa na wateja watatu dukani.Hawa wateja wanataka kununua lita 8 za mafuta kila mmoja.Dukani kuna ndoo ya mafuta ya lita 24 imejaa full,ndoo moja tupu ya lita 13,ndoo moja tupu ya lita 11 na ndoo moja tupu ya lita 5.Dogo anataka tena msaada wa jinsi ya kugawanya hayo mafuta lita 8 kwa kila mmoja wa hao wateja watatu.

duh huyu dogo! Embu ngoja niumize kichwa kidogo hapa
 
Msichoke wakuu,(b)Dogo alipofika home,aliitwa na wateja watatu dukani.Hawa wateja wanataka kununua lita 8 za mafuta kila mmoja.Dukani kuna ndoo ya mafuta ya lita 24 imejaa full,ndoo moja tupu ya lita 13,ndoo moja tupu ya lita 11 na ndoo moja tupu ya lita 5.Dogo anataka tena msaada wa jinsi ya kugawanya hayo mafuta lita 8 kwa kila mmoja wa hao wateja watatu.

chukua ndoo ya 13L na 11L Zijaze mafuta kutoka kwenye ile ndoo ya 24L.
Mimina 5L kwenye ndoo tupu ya 5L Kutoka kwenye kwenye ndoo yenye 13L. Kwenye ndoo yenye 13L zitabaki 8L. Chukua mafuta ya kwenye 5L bucket mimina kwenye 24L ambayo sahivi ipo tupu.
Kutoka kwenye 11L bucket mimina 3L kwenye 24L bucket kwahiyo humo zitakuwa 8L na from 11L bucket zitabaki 8L.
 
Kutoka kwenye 11L bucket mimina 3L kwenye 24L bucket kwahiyo humo zitakuwa 8L na from 11L bucket zitabaki 8L.

mh hapa mwisho sijui sijaelewa. Ila nina swali mkuu. Utajuaje kwamba uliyo mimina hapo mwishoni ni 3L?
 
chukua ndoo ya 13L na 11L Zijaze mafuta kutoka kwenye ile ndoo ya 24L.
Mimina 5L kwenye ndoo tupu ya 5L Kutoka kwenye kwenye ndoo yenye 13L. Kwenye ndoo yenye 13L zitabaki 8L. Chukua mafuta ya kwenye 5L bucket mimina kwenye 24L ambayo sahivi ipo tupu.
Kutoka kwenye 11L bucket mimina 3L kwenye 24L bucket kwahiyo humo zitakuwa 8L na from 11L bucket zitabaki 8L.

Umechemsha! utajuaje kwamba umetoa 3L from 11L bucket wakati huna kipimo cha 3L?
 
aah! Simple. Atafute zile chupa tupu za maji ya uhai za lita moja, apime mara nne kwenye ndoo ya lita tano, atapata hizo lita nne anazotaka.

Hata Zero naye kila alipotakiwa kutoa jibu kwa swali lilgumu kwake alikuwa anaanza kwa kusema,SIMPLE!. Majibu ni kama yako....
 
Umechemsha! utajuaje kwamba umetoa 3L from 11L bucket wakati huna kipimo cha 3L?

twende kazi sasa.
Let ndoo zote za lita 5,13,11 na 24= A,B,C,D respectively.

A B C D total
- 13 11 -
5 8 11 -
- 8 11 5
5 3 11 5
- 3 11 10
5 3 6 10
5 3 - 16
- 3 5 16
5 3 5 11
5 - 8 11
- 5 8 11
- 13 8 3
5 8 8 3
- 8 8 8
kwa kuanza ameanza na ndoo yenye lita 24.
Unapoona sehemu zimeongezeka/zimepungu ujue amemimina/amepunguza litres ila katika kila stage lazima ilete total 24.
Ningekuwa na pc ningewapangia vizuri zaidi.
I hope nimepata na mmeelewa.
 
twende kazi sasa.
Let ndoo zote za lita 5,13,11 na 24= A,B,C,D respectively.

A B C D Total

- 13 11
5 8 11 -
- 8 11 5
5 3 11 5
- 3 11 10
5 3 6 10
5 3 - 16
- 3 5 16
5 3 5 11
5 - 8 11
- 5 8 11
- 13 8 3
5 8 8 3
- 8 8 8
kwa kuanza ameanza na ndoo yenye lita 24.
Unapoona sehemu zimeongezeka/zimepungu ujue amemimina/amepunguza litres ila katika kila stage lazima ilete total 24.
Ningekuwa na pc ningewapangia vizuri zaidi.
I hope nimepata na mmeelewa.

duuh! Heheheeeee! Imeniwia dakika 5 kuelewa hii kitu! Kweli hapa mathematician tumepata.
 
Msichoke wakuu,(b)Dogo alipofika home,aliitwa na wateja watatu dukani.Hawa wateja wanataka kununua lita 8 za mafuta kila mmoja.Dukani kuna ndoo ya mafuta ya lita 24 imejaa full,ndoo moja tupu ya lita 13,ndoo moja tupu ya lita 11 na ndoo moja tupu ya lita 5.Dogo anataka tena msaada wa jinsi ya kugawanya hayo mafuta lita 8 kwa kila mmoja wa hao wateja watatu.

Dogo atafanya kifuatacho: kutoka ktk ndoo ya lt 24 atamimina mafuta ktk ndoo ya lt 13 ijae. Kisha kutoka ktk ya lt 13 atajaza kwenye lita 5, atabakiwa na lt 8, (13-5=8). Hizi lt 8 atatia ktk ndoo tupu ya lt 11.
Kisha atarudisha ile lt 5 ktk ndoo ya lt 13. Ataongezea mafuta ktk ndoo ya lt 13 toka yaliyobaki ktk ndoo ya lt 24. Then, kutoka ya lt 13 atamimina lt 5 kwenda kwa ile tupu ya lt 5. Atabakiwa na lt 8. Kutoka ktk ya Lt 5 atazirudisha ktk ndoo ya awali iliyokuwa na lt 24 ambayo kwasasa ina lita 3, mwisho atakuwa na lt 8 ktk kila ndoo.
5+y=13, y=8..kwy ya 13lt
11-8=3..bk kwy ya 11lt
3+5=8...kwy ya 11lt

Nawasilisha.
 
Dogo atafanya kifuatacho: kutoka ktk ndoo ya lt 24 atamimina mafuta ktk ndoo ya lt 13 ijae. Kisha kutoka ktk ya lt 13 atajaza kwenye lita 5, atabakiwa na lt 8, (13-5=8). Hizi lt 8 atatia ktk ndoo tupu ya lt 11.
Kisha atarudisha ile lt 5 ktk ndoo ya lt 13. Ataongezea mafuta ktk ndoo ya lt 13 toka yaliyobaki ktk ndoo ya lt 24. Then, kutoka ya lt 13 atamimina lt 5 kwenda kwa ile tupu ya lt 5. Atabakiwa na lt 8. Kutoka ktk ya Lt 5 atazirudisha ktk ndoo ya awali iliyokuwa na lt 24 ambayo kwasasa ina lita 3, mwisho atakuwa na lt 8 ktk kila ndoo.
5+y=13, y=8..kwy ya 13lt
11-8=3..bk kwy ya 11lt
3+5=8...kwy ya 11lt

Nawasilisha.

you are right.
 
huyu mtoto sijuwi kilaza? Kama ni mimi hiyo ndoo ya L11 hata sipimii, yanini nijihangaishe. Nitamimina mafuta ktk ndoo ya L13 then hayo hayo nitayamimina ktk ndoo ya L5 (13-5=8) then nitammimia mwenye ndoo ya L11 asepe zake na nitarejea tena kama hivyo kumpimia mwenye ndo ya L13 then huyu mwenye ndo ya L5 nitampa na ndoo yangu coz ktk ndoo yake hayaingii ila atailipia, hakuna cha bure hapa (now ndoo 2500/= kwa bei ya jumla)
 
Dogo atafanya kifuatacho: kutoka ktk ndoo ya lt 24 atamimina mafuta ktk ndoo ya lt 13 ijae. Kisha kutoka ktk ya lt 13 atajaza kwenye lita 5, atabakiwa na lt 8, (13-5=8). Hizi lt 8 atatia ktk ndoo tupu ya lt 11.
Kisha atarudisha ile lt 5 ktk ndoo ya lt 13. Ataongezea mafuta ktk ndoo ya lt 13 toka yaliyobaki ktk ndoo ya lt 24. Then, kutoka ya lt 13 atamimina lt 5 kwenda kwa ile tupu ya lt 5. Atabakiwa na lt 8. Kutoka ktk ya Lt 5 atazirudisha ktk ndoo ya awali iliyokuwa na lt 24 ambayo kwasasa ina lita 3, mwisho atakuwa na lt 8 ktk kila ndoo.
5+y=13, y=8..kwy ya 13lt
11-8=3..bk kwy ya 11lt
3+5=8...kwy ya 11lt

Nawasilisha.
Mnyamahodzo na husninyo mnatisha!Hebu check na hii japo nayo ni ndefu,let(24,13,11,5) be (W,X,Y,Z),then WXYZ~24,0,0,0~11,13,0,0~6,13,0,5~6,2,11,5~8,0,11,5~8,5,11,0~8,13,3,0~8,8,3,5~8,8,8,0(hence balanced).
 
Mnyamahodzo na husninyo mnatisha!Hebu check na hii japo nayo ni ndefu,let(24,13,11,5) be (W,X,Y,Z),then WXYZ~24,0,0,0~11,13,0,0~6,13,0,5~6,2,11,5~8,0,11,5~8,5,11,0~8,13,3,0~8,8,3,5~8,8,8,0(hence balanced).

yap, nayo ipo poa.
Unatoa wapi haya maswali. Khaa!
 
Mnyamahodzo na husninyo mnatisha!Hebu check na hii japo nayo ni ndefu,let(24,13,11,5) be (W,X,Y,Z),then WXYZ~24,0,0,0~11,13,0,0~6,13,0,5~6,2,11,5~8,0,11,5~8,5,11,0~8,13,3,0~8,8,3,5~8,8,8,0(hence balanced).

dah safi sana. Tuendelee kuchangamshana mkuu
 
dogo atafanya kifuatacho: Kutoka ktk ndoo ya lt 24 atamimina mafuta ktk ndoo ya lt 13 ijae. Kisha kutoka ktk ya lt 13 atajaza kwenye lita 5, atabakiwa na lt 8, (13-5=8). Hizi lt 8 atatia ktk ndoo tupu ya lt 11.
Kisha atarudisha ile lt 5 ktk ndoo ya lt 13. Ataongezea mafuta ktk ndoo ya lt 13 toka yaliyobaki ktk ndoo ya lt 24. Then, kutoka ya lt 13 atamimina lt 5 kwenda kwa ile tupu ya lt 5. Atabakiwa na lt 8. Kutoka ktk ya lt 5 atazirudisha ktk ndoo ya awali iliyokuwa na lt 24 ambayo kwasasa ina lita 3, mwisho atakuwa na lt 8 ktk kila ndoo.
5+y=13, y=8..kwy ya 13lt
11-8=3..bk kwy ya 11lt
3+5=8...kwy ya 11lt

nawasilisha.

welldone!
 
Mtoto ana ndoo moja yenye ujazo wa lita 5 na ndoo moja yenye ujazo wa lita 3.Yupo kisimani anataka kupima lita 4 za maji.msaidie jinsi ya kupima hizo lita 4 kwa kutumia ndoo zake mbili.

Kumbe kuna ndoo za lita 3 na za lita 5??? Mi nnauzoefu na za lita 10 & 20 tuu!..
 
Back
Top Bottom