kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,633
- 7,021
Huu ndio umbea, kuna binadamu asiekosea? Uivu wa kijinga/
Je haya ndiyo matokeo ya
elimu aliyosema Mbatia.
Usiku huu kwenye taarifa ha habari ITV kuna dada mmoja alikuwa
anaongelea kuhusu gazeti la the gurdian na Nipashe kuzindua huduma ya
yaarifa kwa njia ya sms kupitia tigo kasema mteja atakuwa anapokea msg
nne kwa mpigo mara nne akakazia kwamba nne mara nne ni kumi na
nane.
teh teh nimeipenda sent from cm ya wife using jamiiforumsTutofautishe facebook na JF ,sisi ni muhimu sana kwa taifa.
Sent from cm ya wife using JamiiForums
Je haya ndiyo matokeo ya elimu aliyosema Mbatia.
Usiku huu kwenye taarifa ha habari ITV kuna dada mmoja alikuwa anaongelea kuhusu gazeti la the gurdian na Nipashe kuzindua huduma ya yaarifa kwa njia ya sms kupitia tigo kasema mteja atakuwa anapokea msg nne kwa mpigo mara nne akakazia kwamba nne mara nne ni kumi na nane.
Huu ndio umbea, kuna binadamu asiekosea? Uivu wa kijinga/
haya ni maoni yako na huzuiwi kua na uivu wa kijinga, maana ndio wangine wakiwezacho. Lakini wene weledi wanafahamu kua si ajabu mwanadamu kukosea. Pia kukosea kwa kurudia si dalili ya kutojua hesabu.Hapo hakuna wivu, ile taarifa aliihariri kabla ya kuisoma na hakugundua tatizo na kama ni typing error kwa herufi inakubalika na siyo kwenye hesabu, kama unajuwa hesabu utakaporudia nafsi itakataa tu kwamba hili siyo jibu lake mwandishi alikosea, utasahihisha, anyway nyie si mnasema hata ukipata alama F ya hesabu haina madhara kwa kuwa anaenda kusoma HGL aendelee tu, matokeo yake ndiyo hayo, hamjuwi kuwa hesabu ni cross cutting.