Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,915
- 6,530
Kama hilo wazo kweli lilitoka kwa Kitila basi ndio maana limekufa, wazo hata liwe zuri vipi, lakini kama yule anayelitoa hana msimamo juu ya kile anachoamini haliwezi kutekelezeka.Miongoni mwa makada ndani ya CCM wenye PhD na uwezo wa kuandika, na walio karibu na Rais SSH pengine huenda ikawa ni andiko la Prof. Kitila Mkumbo, hata kama ubunifu wa wazo la jumla na sehemu ya maudhui ikiwa vimetoka kwa mheshimiwa mwenyewe.
Kutokana na mazingira ya kisasa, kijamii, na kiuchumi alitoyarithi kutoka kwa mtangulizi wake, huenda mheshimiwa alikuja na wazo la "reconciliation & rebuilding" tu, lakini *scholar" huyu wa "political science" akaliboresha wazo kwa kuchagiza na "literal concepts of ressilliance & reforms"
Tumbo ni prime and premier motivatorKama hilo wazo kweli lilitoka kwa Kitila basi ndio maana limekufa, wazo hata liwe zuri vipi, lakini kama yule anayelitoa hana msimamo juu ya kile anachoamini haliwezi kutekelezeka.
Kitila yupo tayari tena bila aibu ku sacrifice kile anachoamini kwa ajili ya tumbo, huyu mtu sio wa kumuamini hata dakika moja.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Kweli tupu, Tanzania tunaishi kwa nidhamu (uoga) ya hali ya juuSijafuatilia huu mjadala,nilikuwa off-line siku chache.
Hili wazo la 4R sikuipata,ni nani mwanzilishi wake?
Ni wazo la Ikulu?
Ni wazo la Rais Samia?
Reconciliation,Resilience,Reform,Rebuilding.
Ni falsafa imetoka wapi? Is it capitalist political theory,au socialism,au imetoka katika Sunnah?
Tuna matatizo ya wanasiasa ambao sio waaminifu,wafanyabiashara ambao ukizubaa wanakuchaji jela nyingi,raia ambao wana manung'uniko mengi kuhusu viongozi,wakati wao wenyewe( raia) siyo wasafi.
Au matatizo yetu ( kama taifa)ni nini?
Mi nashangaa kuhusu wale boda bara waliokuwa wanamkokota mtu kwenye lami wiki iliyopita.
Mi nadhani dini ngiyo inaweza kutuokoa::kama jana nilikuwa nasoma kitabu cha dini,Maliki,Hanafi,Shafii,Hanbal; tukimtumainia Mwenyezi Mungu,ndiyo salama yetu.
Watanzania wanataka kuona nidhamu katika kazi ya serikali.
Watanzania ni watu wa nidhamu.
Ama sivyo serikali ingeweza vipi kufanya mkataba na DP World?
Au kuhamisha Wamasai Ngorongoro?
Dr Slaa na Wakili Mwabukusi wamejaribu kuwafanya wananchi waandamane lakini wameshindwa kabisa,kwa sababu wananchi wana nidhamu.
Tatizo lipo hapo yeahIshara zozote za kuonyesha kwamba viongozi hawana nidhamu italeta mtafaruku.
Hakika ubinafsi ni kikwazo kikubwaKama ukisema fedha za mradi wa Bwawa la Nyerere zimeibiwa au fedha za SGR zimeibiwa.
Halafu watu wanatoa ushauri hata katika ambazo diyo zao.
Kwa mfano,Diamond Platinum ni mwimbaji lakini baadaye utamuona anakushauri kwamba dawa ya meno ya pepsodent ndiyo inakufaa.
Kwa hiyo utaona mwanasiasa amepata mafanikio makubwa katika kukutengenezea barabara,kujenga zahanati,kujenga madaraja, na nini tena sijui,lakini baadaye anataka akufundishe kuhusu maadili;kuhusu sijui,uvuvumilivu na ustahamilivu.
Umeona ule mkutano walikuwa wanafanya juzi; yule kigogo wa Chadema alikuwa analalamika kuhusu wale wabunge 19: kulikuwa na uvumilivu gani pale?
Muhimu ni uzalendo. Raia lazima aipende nchi kuliko anavyojipenda mwenyewe.
Kama unadhani uzalendo,hiyo ni makosa.
Ukichunguza maisha yako,utaona kwamba matatizo yako yote yalisababishwa na ubinafsi.
Tanzania kama nchi tulikuwa mstari wa mbele kwenye ukombozi wa Afrika. Hakuna faida kubwa tuliyoipata kwa kujitolea kwetu kusimama kidete hivyo, kibaya zaidi CCM ilipeleka makada wake frontier kusimamia operesheni za uhuru na hapo CCM ikajifunza kila aina ya ukaburu, ubaguzi, ubadhirifu, kuharibu taratibu za kidemokrasia na wamekuwa mabingwa kweli ktk hili.Hakuna siku ulipata matatizo kwa ajili uliwajali wengine kuliko nafsi yako.
wordUbinafsi ndiyo chanzp cha matatizo yako na pia ndiyo chanzo cha matatizo ya nchi hii.
Lazima tuwe na nidhamu. Halafu nidhamu siyo ukatili. Yule mtu katili hana nidhamu.
Au tuseme hivi,adhabu lazima ilingane na kosa.
Naunga mkono hoja, hizo 4R ni scholarly concept from think tank.Miongoni mwa makada ndani ya CCM wenye PhD na uwezo wa kuandika, na walio karibu na Rais SSH pengine huenda ikawa ni andiko la Prof. Kitila Mkumbo, hata kama ubunifu wa wazo la jumla na sehemu ya maudhui ikiwa vimetoka kwa mheshimiwa mwenyewe.
Kutokana na mazingira ya kisasa, kijamii, na kiuchumi aliyoyarithi kutoka kwa mtangulizi wake, huenda mheshimiwa alikuja na wazo la "reconciliation & rebuilding" tu, lakini *scholar" huyu wa "political science" akaliboresha wazo kwa kuchagiza na "literal concepts of ressilliance & reforms"
Lakini tunachokishuhudia ni kukosekana utashi wa kuziishi from the maker.Naunga mkono hoja, hizo 4R ni scholarly concept from think tank.
P
Muda wote ukiwa unafikiria tumbo huo ndio mwanzo wa umaskini.Tumbo ni prime and premier motivator
Hustle zote unazoziona zinaendelea duniani ni stomach oriented
Liheshimu tumbo ni kiwanda cha hatari kinacholisha hata hiyo akili unayoitegemea
Sio kweliTumbo ni prime and premier motivator
Hustle zote unazoziona zinaendelea duniani ni stomach oriented
Liheshimu tumbo ni kiwanda cha hatari kinacholisha hata hiyo akili unayoitegemea
Maadam the maker ameandikiwa, na ame ziridhia, then huo ni utashi tosha, kilichobaki ni implementation tuu!.Lakini tunachokishuhudia ni kukosekana utashi wa kuziishi from the maker.
Maadam siyo sheria ni just compendium of ideas basi tumuachie mwenyewe.Maadam the maker ameandikiwa, na ame ziridhia, then huo ni utashi tosha, kilichobaki ni implementation tuu!.
P