FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
Dah kumbe for ladies only:doh::doh::doh::doh:
Utalia?
Utamrudishia?
Utamkiss ?
Utamwambia i love u
Hutaongea nae 1 day , 1week ,month or a year,
Utaachana nae /:couch2:
have great weekend !
NB: nauliza tu
mamy inategemea kakuslap wakati gani,mkiwa kwenye malove davi zen kisses zitakuwa nyingi ntampa,ikiwa mbele ya watu duh kaniaibisha lkn siwezi mrudishia bali ntamwambia kwa upole"mpz naomba nikikukosea tena usinipige mbele ya watu,naomba niite pembeni na uniambie kosa langu,najua mm ni binadam na wala si malaika,nisamehe kwa nilokukosea leo na sitarudia tena,nami nimekusamehe kwa kunipiga mbele ya watu,I love u dear,mwaah".:tonguez:
hahahaha unatakiwa ukatoe semina za ndoa mrembo una maadili sana
kwa kweli mie haya mambo ya kulabuana nayachukia sana, cku atakayojaribu ndio nitajua anastahili adhabu gani...
Mimi nafikiri reaction yake is unplanned kwangu, nahisi kama nitaijua baada ya tukio. Ila nahisi ya haraka haraka ni kurusha kitu halafu majuto baadaye, manake kibao cha utu uzimani!
Mie nawaza kwa nini anipige kibao wakati tunaweza kukaa chini na kuongea??
mamy inategemea kakuslap wakati gani,mkiwa kwenye malove davi zen kisses zitakuwa nyingi ntampa,ikiwa mbele ya watu duh kaniaibisha lkn siwezi mrudishia bali ntamwambia kwa upole"mpz naomba nikikukosea tena usinipige mbele ya watu,naomba niite pembeni na uniambie kosa langu,najua mm ni binadam na wala si malaika,nisamehe kwa nilokukosea leo na sitarudia tena,nami nimekusamehe kwa kunipiga mbele ya watu,I love u dear,mwaah".:tonguez:
hahahaha unatakiwa ukatoe semina za ndoa mrembo una maadili sana
Utalia?
Utamrudishia?
Utamkiss ?
Utamwambia i love u
Hutaongea nae 1 day , 1week ,month or a year,
Utaachana nae /:couch2:
have great weekend !
NB: nauliza tu
FL1 ushaharibu unategemea slap nini?? Isije ukawa umekunywa ile grants iliyoachwa kabatini jana....
FL1 nataka nikutume kwa Pearl ukamwambie..............
Mwenyekiti habari za asubuhi jana umekesha zero pub? mbona umechelewa?
Utalia?
Utamrudishia?
Utamkiss ?
Utamwambia i love u
Hutaongea nae 1 day , 1week ,month or a year,
Utaachana nae /:couch2:
have great weekend !
NB: nauliza tu