funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,542
- 20,997
natamani nichangie ila tu topic tittle inakataza:tonguez:ni mambo ya kizamani sana kulabuana aisee, wote watu wazima y tucyaongelee tu solve tatizo kuliko kilabuana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
natamani nichangie ila tu topic tittle inakataza:tonguez:ni mambo ya kizamani sana kulabuana aisee, wote watu wazima y tucyaongelee tu solve tatizo kuliko kilabuana?
mambo gani ya kutumia C/O mheshimiwa ?
FL1 ushaharibu unategemea slap nini?? Isije ukawa umekunywa ile grants iliyoachwa kabatini jana....
natamani nichangie ila tu topic tittle inakataza:tonguez:
As advices by you mheshimiwa what is next ?una kesi ya kujibu
mambo gani ya kutumia C/O mheshimiwa ?
ah ah ah nenda kamwambieeeeeeeeee ahaaaaaaa jinsi navyomp..........,au kama mapenzi bado ahaaaaaaaaaa,huujui wimbo huu ma?
We title yako ya thredi si inakataza ushauri wa kiume??....suala la kesi hone:
Mkuu kwanza hebu niondolee cheo cha pope kaizer...si unajua sistahili hata kufungua gidamu zake??:hand:...am only a secretary general....:ranger:...
Jana (infact nimetoka pale leo alfajiri) bana dah.....sijui jioni itafika saa ngapi..sorry off topic!
natamani nichangie ila tu topic tittle inakataza:tonguez:
Akinislap kokote pale nitasubiri mpaka asahau kabisa then nitamuuliza why did u slap me? hapo atatoa sababu zake, unajua FL1 saa zingine hizi hasira ni hasara kwa hiyo hutakiwi kukurupuka, jambo kama hilo likitokea unatakiwa urelax then muongelee tatizo lilotokea wakati tofauti kabisa, yataisha bila wewe victim kuwa na kinyogo.
Akinislap kokote pale nitasubiri mpaka asahau kabisa then nitamuuliza why did u slap me? hapo atatoa sababu zake, unajua FL1 saa zingine hizi hasira ni hasara kwa hiyo hutakiwi kukurupuka, jambo kama hilo likitokea unatakiwa urelax then muongelee tatizo lilotokea wakati tofauti kabisa, yataisha bila wewe victim kuwa na kinyogo.
on my behalf changia....wewe ulishawahi kumlabua mama?
Nyamayao msamiati wangu mpya huo
jamani yangu mi mafupi tu... huwa namslap kimahaba....eeh...watu wazima hapa nadhani mshanifaham:tonguez: