Nawapongeza sana Tritel (T) Ltd kwa kuwajali watu wa Tarime kwa kuwaletea mtandao wa kasi. Sikuamini macho yangu kwa sababu nilijua
Voda ndio wangelianzisha na sasa hivi naEnjoy Speed yake.
Hii kitu kwenye modem nikisearch inaleta mitandao mingine lakini Tritel haiji sijui kwa nini na dashboard nilizotumia ni mobily, beetel, 3connect na join air kwenye modem ya mf190 yenye HSUPA
tafta tz01 ndo hio hio tritel