donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,139
hivi wakuu mnadhani ni lini na hapa kwetu tutaanza kuangalia muvi za 3d zilitongenezwa hapa hapa kwe2? halaf pia kuhusu muvi za animation. hapa kuna magwiji wa 3d modelling, watu wanajua lightwave na ma 3ds max yakutosha but stil ha2apply knowledge zetu. mnaonaje wakuu?
Hii inastahili kuwekwa kule kwenye jokes,it serves the purpose of making one laugh.
<font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">naomba niulize....hivi ukitaka kuona hizo 3D moviez si lazima uwe na TV inayosupport.......na je hapa bongo itakuwa inauzwa sh ngapi?.....nimeuliza tu....</span></font></font>
naomba niulize....hivi ukitaka kuona hizo 3D moviez si lazima uwe na TV inayosupport.......na je hapa bongo itakuwa inauzwa sh ngapi?.....nimeuliza tu....
<br />Wanigeria wenyewe hawajaanza!