SAWEBOY
JF-Expert Member
- Apr 6, 2011
- 241
- 173
Heshima kwenu wakuu wote wana JF, na pia poleni kwa majukumu ya kazi za kila siku.
Mimi ni kijana wa 32 years Old, nimehangaika kupata kazi bila mafanikio. Tafadhali naomba mwongozo wenu coz nimejaribu ku-apply job - vacancies sehemu kadhaaa bila mafanikio. Hivyo kwa yeyote yule mwenye mapenzi mema naomba msaada wa juu ya hilo tatizo langu.
Qualifications zangu:
1. Bachelor of Education (B.Ed Arts).
2. Master of Philosophy in Special Needs Education
3. Master of Science in Education (Educational Effectiveness and Instructional Design).
Wakuu wana Jf natanguliza shukrani zangu za dhati kwa yeyote yule atakayeguswa na tatizo langu na kunichangia mawazo au kunipa mwongozo.
Asanteni sana na kazi njema.
Saweboy
Mimi ni kijana wa 32 years Old, nimehangaika kupata kazi bila mafanikio. Tafadhali naomba mwongozo wenu coz nimejaribu ku-apply job - vacancies sehemu kadhaaa bila mafanikio. Hivyo kwa yeyote yule mwenye mapenzi mema naomba msaada wa juu ya hilo tatizo langu.
Qualifications zangu:
1. Bachelor of Education (B.Ed Arts).
2. Master of Philosophy in Special Needs Education
3. Master of Science in Education (Educational Effectiveness and Instructional Design).
Wakuu wana Jf natanguliza shukrani zangu za dhati kwa yeyote yule atakayeguswa na tatizo langu na kunichangia mawazo au kunipa mwongozo.
Asanteni sana na kazi njema.
Saweboy