3 Bedroom House, toa changamoto!

Mkuu,
Kiwanja cha 20 kwa 20 kwa vipimo vya vyumba vyako vya futi 12 haikai Hii nyumba mkuu.

Vinginevyo labda ufanye modification za mapana na marefu ya nyumba yako mkuu.

Ndo maana nikisisitiza uweke vipimo clear kabisa ili tukushauri vizur.
 
Kingine,
Unapaswa kujua kua Hizo square mita 150,
Ni jumla ya eneo lote la nyumba nzima marefu na mapana yake.

Bila kuzingatia Kuna vi-portion vimezidi au vimepelea kwenye mapana na marefu ya nyumba.

Hii nyumba,
Ukiijenga Bila vipimo, Unaweza jikuta choo Kiko kwa jirani, au umebana Sana Kia's bati lako linamwaga maji kwa jirani yako.

Kama ni mtata,
Mtajikuta mnaanza migogoro ya mipaka, au unalazimika upasuke ununue kipande kilichobaki kwake. Ambapo Lazima akunyooshe kwenye Bei, lasivyo bomoa.

Kitu Ambacho sio kizur na kinatoa hasara na ukijaribu kubomoa unajikuta unaharibu ramani.
 

Bedroom za watoto ni wastani wa 4x3.5m², naamini ni spacious kabisa maana hapo utajengea kabati na nafasi ya kutosha.
Master bedroom iwe angalau 4x5m².

Kuna scenario mbili hapa kwa mtu anayejenga;
*Kuna wanaopenda sitting room kubwa coz wanatumia mda wao mwingi huko.
*Kuna wanaopenda master bedroom kubwa coz wanapenda kutumia mda mwingi chumbani
Sitting room ya 30m² naamini kibongobongo ni kubwa tu.

Asante kwa observation yako mkuu.
 
Mkuu,
Kiwanja cha 20 kwa 20 kwa vipimo vya vyumba vyako vya futi 12 haikai Hii nyumba mkuu.

Vinginevyo labda ufanye modification za mapana na marefu ya nyumba yako mkuu.

Ndo maana nikisisitiza uweke vipimo clear kabisa ili tukushauri vizur.
Hii ina 14m×15m, kwa nini isikae kwenye kiwanja cha 20x20 mkuu?
Ninaposema 20x20 namaanisha mita, sio miguu.
 
Mkuu acha masihara Basi,
Dirisha la mita 3 si sawa na futi 9 hizo.

Dirisha la futi 9,
Si karibu linameza ukuta mzima wa chumba Cha futi 12? [emoji848]
 
Hii ina 14m×15m, kwa nini isikae kwenye kiwanja cha 20x20 mkuu?
Ninaposema 20x20 namaanisha mita, sio miguu.
Hebu weka vipimo twende sawa mkuu,
Hii nyumba kwenye 20×20 inakaa Ila kwa tabu Sana.
 
Choo cha public mbona wageni watakuwa wanachungulia vyumbani?
Chungulia tena mzee mwenzangu, najua macho kidogo yanaleta ukungu[emoji3]

Public toilet haiingiliani na choo cha watoto.
 
Kuna watu wanapenda nyumba zenye nafasi mkuu, nyumba ikikosa korido kwangu binafsi inaboa sana. Korido inakula nafasi lakini inafanya nyumba ipendeze.
Upo sahihi, Ila zisiwe zina long distance, kwa mtazamo wangu lakini
 
Hivi kuna shida vyumba vyote kua master? Nilikua nafanya kazi ya kutengeneza domes kwa mhindi fulani nikakuta nyumba ya vyumba vinne vyote ni master. Vina closet, ukubwa sawa na bafu na choo. Kisha kuna bafu na choo kwa ambaye atakua sebuleni.

Sijakutana na nyumba nyingine ya hivyo. Kuna shida kifundi?
 
Mchoraji alimaanisha sitting room mkuu, haya mpe changamoto basi!
Aongeze chumba Vip watu wake wa karibu wakija kumtembelea kwa mfano wazazi watalala lounge au chumba kipi,mfano kajaliwa watoto jinsi tofauti me na ke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…