Wakuu anaefaham hii kitu anifahamishe naona tcu wanansokota tu..wamenambia nimeshachaguliwa moja ya vyuo nilivyoomba..lkn naona kila chuo kikitoa majina cmo...ni vp hii? Au ndo wengine hatuna zarii
Wakuu anaefaham hii kitu anifahamishe naona tcu wanansokota tu..wamenambia nimeshachaguliwa moja ya vyuo nilivyoomba..lkn naona kila chuo kikitoa majina cmo...ni vp hii? Au ndo wengine hatuna zarii
kuna yale majina ya udsm yaliyoleak wapo waliokuwa wameandiwa do not admit, sijui yalikuwa yanatoka tcu kwenda udsm, kama ni hivyo huenda wale watu walipata selection zao nyingine tofaut na za udsm ila kama yalikuwa yanatoka udsm kwenda tcu ninadoubt mtu akazinguliwa ingawa alishaambiwa amepata provisional selection.
Bdo mzumbe mkuu lkn pale sipat coz sikueka first priority ao walioeka first wako km 200 na kitu iv...na wanatakiwa watu 100 tu..